Hizo gari ni zile ambazo hazijakombolewa Bandarini kwasababu mbalimbali ikiwemo kifo cha mteja, na zingine kuingia kwa njia za panya.
Serikali inataifisha na kuzigawa kwa ofisi mbalimbali za umma na vyombo vya ulinzi.
Haikuanza leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.