Hii Imekaaje??

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,983
12,701
Nipo kwenye daladala kuna mama anaongea na simu. Inaonyesha kazaa na wanaume watatu tofauti na huyu mwanaume wa mwisho inaonekana hatoi matunzo kwa mtoto wake. Sasa katika maongezi ya simu huyo mwanaume anaporomoshewa matusi ya nguoni hadi abiria wengine, hasa wa kiume tumeinamisha vichwa vyetu kwa aibu. Sentensi moja aliyoongea na nimevutiwa nayo ni hii:-
"we ni mwanaume gani ambae hujali mtoto, WANAUME wote niliozaa nao wanajali watoto wao, wa kwanza kamsomesha mwanae hivi sasa yupo form two, wa pili nae anamsomesha na anatoa matunzo na mtoto yupo darasa la sita, Ms.....(tusi) wewe mtoto wako hata chekechea unashindwa kumpeleka"
Akamaliza kwa kusema "Najuta kuzaa na wewe".
 
Nipo kwenye daladala kuna mama anaongea na simu. Inaonyesha kazaa na wanaume watatu tofauti na huyu mwanaume wa mwisho inaonekana hatoi matunzo kwa mtoto wake. Sasa katika maongezi ya simu huyo mwanaume anaporomoshewa matusi ya nguoni hadi abiria wengine, hasa wa kiume tumeinamisha vichwa vyetu kwa aibu. Sentensi moja aliyoongea na nimevutiwa nayo ni hii:-
"we ni mwanaume gani ambae hujali mtoto, WANAUME wote niliozaa nao wanajali watoto wao, wa kwanza kamsomesha mwanae hivi sasa yupo form two, wa pili nae anamsomesha na anatoa matunzo na mtoto yupo darasa la sita, Ms.....(tusi) wewe mtoto wako hata chekechea unashindwa kumpeleka"
Akamaliza kwa kusema "Najuta kuzaa na wewe".


.......lol gume gume limekutana na kikekwerekwe..............
kazi mtindo mmoja!!!!!!
 
Katoa lake la moyoni, limwanaume linalopanda Mbegu mahali halafu halikumbuki kulea na kusomesha mtoto wake hata mimi silipendi kabisa. Tena nalifikiria kama angekuwa yy ndo mwanamke huyo mtoto angemuua. Sasa huyo anatofauti gani na mbwa? Mbwa ataacha mbegu mahali wala hatarudi kujua kama kuna kilichozaliwa kutokana na mbegu zake. Ndio huyo mama kamwambia kile kinachomuuma. Crap huyo mwanaume.
 
Dahhhhh
Dala dala yatoka wapi na kwenda wapi?
Nataka kuipanda kesho.. yaonekana
kuna sinema.za bure..

.... nway
Ni sawa yeye kumtuna lakini
Hiyo sentence ya mwisho ...
Tangu lini unajutia matokeo kama hayo
Yaelekea hakubakwa ni alijitakia..
Wa kwanza, wa pili, wa tatu khaaaaaa
Saa nyingine tumezidi kunyanyua magauni
Yetu hovyo..
 
Nipo kwenye daladala kuna mama anaongea na simu. Inaonyesha kazaa na wanaume watatu tofauti na huyu mwanaume wa mwisho inaonekana hatoi matunzo kwa mtoto wake. Sasa katika maongezi ya simu huyo mwanaume anaporomoshewa matusi ya nguoni hadi abiria wengine, hasa wa kiume tumeinamisha vichwa vyetu kwa aibu. Sentensi moja aliyoongea na nimevutiwa nayo ni hii:-
"we ni mwanaume gani ambae hujali mtoto, WANAUME wote niliozaa nao wanajali watoto wao, wa kwanza kamsomesha mwanae hivi sasa yupo form two, wa pili nae anamsomesha na anatoa matunzo na mtoto yupo darasa la sita, Ms.....(tusi) wewe mtoto wako hata chekechea unashindwa kumpeleka"
Akamaliza kwa kusema "Najuta kuzaa na wewe".

janamke la namna hii hata ukiwa unalengo la kumsomesha mtoto lazima utaingia mitini tu.
 
Huyu mwanamke naye kama kicheche wanaume tofauti tofauti aoni hata aibu kuropoka kwenye daladala
 
mwanamke alikosa busara kulikuwa na haja gani kuzungumzia upumbavu wake kwenye daladala............au ndio alikuwa anataka kujionyesha yeye ni kiwanda cha kuzalisha.............huyo mwanaume anamakosa ya kutimiza wajibu wake lakini namna huyo mwanamke anaongea itakuwa vigumu kwa huyo baba kurudi nyuma....... na nyie kina baba ukijua una mahali uliacha mbegu wajibika
 
mwanamke alikosa busara kulikuwa na haja gani kuzungumzia upumbavu wake kwenye daladala............au ndio alikuwa anataka kujionyesha yeye ni kiwanda cha kuzalisha.............huyo mwanaume anamakosa ya kutimiza wajibu wake lakini namna huyo mwanamke anaongea itakuwa vigumu kwa huyo baba kurudi nyuma....... na nyie kina baba ukijua una mahali uliacha mbegu wajibika
Kwa kweli yule mama kwa muonekano wake tu anaonekana hana maadili
 
Nipo kwenye daladala kuna mama anaongea na simu. Inaonyesha kazaa na wanaume watatu tofauti na huyu mwanaume wa mwisho inaonekana hatoi matunzo kwa mtoto wake. Sasa katika maongezi ya simu huyo mwanaume anaporomoshewa matusi ya nguoni hadi abiria wengine, hasa wa kiume tumeinamisha vichwa vyetu kwa aibu. Sentensi moja aliyoongea na nimevutiwa nayo ni hii:-
"we ni mwanaume gani ambae hujali mtoto, WANAUME wote niliozaa nao wanajali watoto wao, wa kwanza kamsomesha mwanae hivi sasa yupo form two, wa pili nae anamsomesha na anatoa matunzo na mtoto yupo darasa la sita, Ms.....(tusi) wewe mtoto wako hata chekechea unashindwa kumpeleka"
Akamaliza kwa kusema "Najuta kuzaa na wewe".

Dah! hiyo kali,
Huyo mama hajatumia busara hayo sio mambo ya kuongelea kwenye daradara,
Kwa upande wa pili ndo dawa yenu wanaume ambao mnazaa tu hamjui mtoto anaishi vip anakula nini, analala wapi, anavaa nini na hata shule anaenda vip?
 
Dah! hiyo kali,Huyo mama hajatumia busara hayo sio mambo ya kuongelea kwenye daradara,Kwa upande wa pili ndo dawa yenu wanaume ambao mnazaa tu hamjui mtoto anaishi vip anakula nini, analala wapi, anavaa nini na hata shule anaenda vip?
Kwa hiyo nawe unaweza kufanya kama huyo mama?
 
Kwa hiyo nawe unaweza kufanya kama huyo mama?

Mi binafsi siwezi kufanya hivyo,
Huyo ni mzazi wangu nitamuita nimueleze tukiwa wawili kwani ni mtoto wetu sote tunatakiwa tumulee wote tukisaidiana na si kumpigia simu mbele za watu hasa kwenye daladala kwani nawapa faida watu sio mambo yote ya kuongea mbele za watu
 
mwanamke alikosa busara kulikuwa na haja gani kuzungumzia upumbavu wake kwenye daladala............au ndio alikuwa anataka kujionyesha yeye ni kiwanda cha kuzalisha.............huyo mwanaume anamakosa ya kutimiza wajibu wake lakini namna huyo mwanamke anaongea itakuwa vigumu kwa huyo baba kurudi nyuma....... na nyie kina baba ukijua una mahali uliacha mbegu wajibika


Dah! hiyo kali,
Huyo mama hajatumia busara hayo sio mambo ya kuongelea kwenye daradara,
Kwa upande wa pili ndo dawa yenu wanaume ambao mnazaa tu hamjui mtoto anaishi vip anakula nini, analala wapi, anavaa nini na hata shule anaenda vip?



Hizo bold hizo nimezipenda sometimes wababa nanyi mmezidi, mtu unamkuta anauwezo mzuri tu na anajua fika mtoto ni wake lakini kumtunza mpaka mshikane mashati.

Tukirudi kwa wadada kuzaa zaa hovyo zi vizuri kwani mi naamini mwanamke ukiamua usizae hata kwa nyundo huzai, saa nyingine wadada wanategeza kabisa mimba halafu mbaba akisepa mnaanza kulalamika. Zaa na yule anaehitaji mtoto ili hata ukilalamika uwe na haki ya kufanya hivyo.
 
Hahaha umeona ee, wa huku vijijini hizo dala dala tunaziona kwa nadra ni mwendo wa kula zoezi la mguu tu kama huna gari


Mpenzi alafu sisi wahuku kijijini mtoto wa baba mwingine anakua ndani ya ndoa wakiwa 10
wanne wa nje na Mr hajui alafu maskini unakuta mtoto kipenzi wa mwingine...
enways ngoja nipande kilimani baba wa mtoto wa saba ananipigia....lol
 
Katoa lake la moyoni, limwanaume linalopanda Mbegu mahali halafu halikumbuki kulea na kusomesha mtoto wake hata mimi silipendi kabisa. Tena nalifikiria kama angekuwa yy ndo mwanamke huyo mtoto angemuua. Sasa huyo anatofauti gani na mbwa? Mbwa ataacha mbegu mahali wala hatarudi kujua kama kuna kilichozaliwa kutokana na mbegu zake. Ndio huyo mama kamwambia kile kinachomuuma. Crap huyo mwanaume.
Is a woman something to pick and use? Or something to struggle for and win? Or someone who may select?
 
Back
Top Bottom