Hii imekaaje ya kuja kulipia daraja la Kigamboni?

Nimemskiliza Magufuli jana anajitapa kuwa wananchi watapita bure wakati anajua daraja siyo lake...duh!

Nafikiri ulimsikiliza ila hukumwelewa hata mie nilimsikiliza wananchi wapita kwa miguu watapita bure ila wenye magari watalipia na akasema msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
 
wewe bendera fuata upepo hata hujui wanaojenga ni akina nani? Umeambiwa kuwa harusi watu huchangia asubuhi na jioni! na ukiwa na familia wote huchangia harusi!

Hapa hujeelewa angalia threads zangu za mlengo gani kwenye hili hapana Huo mradi PPF wametoa hela kwaajili ya ujenzi wa daraja hilo bila PPF kutoa hela mradi ungechelewa (Have you ever heard about community foundations) kwenye maswala ya msingi nita simama kidete (call a spade a spade not a big spoon)
 

Attachments

  • dart charge.jpg
    dart charge.jpg
    95.6 KB · Views: 80
Hapa hujeelewa angalia threads zangu za mlengo gani kwenye hili hapana Huo mradi PPF wametoa hela kwaajili ya ujenzi wa daraja hilo bila PPF kutoa hela mradi ungechelewa (Have you ever heard about community foundations) kwenye maswala ya msingi nita simama kidete (call a spade a spade not a big spoon)

MAdaraja mengine katika nchi hii yajengwe kwa mikopo na watanzania wote tulipe ila hili la kigamboni wanakigamboni wawe wanalipia maisha yao yoote! hii haikubaliki kabisa!!
 
Ha ha haa mkiambiwa chagueni lowasa hamtaki sasa subirini mtaambiwa mlipie mpk....
 
jkwani mfano mtu akivuka mara moja analipa sh ngapi tusaidiane wakuu

Hata kama ni sh 50 ukiikosa utalala huko huko uliko. Na kama 50 umekosa fikiria utalala wapi kama hujachangia malazi na chokoraa wa mitaani.
 
Usipende vya bure.........daraja linajengwa na NSSF sasa michango yetu unataka irudi vipi?
je ilikuwa ni jukumu la NSSF kujenga madaraja hilo ili litegeneze faida? Serikali yetu yenye umri wa miaka 50 inashindwa kujenga daraja lenye urefu usiozidi km 7 tu.

Wazo la kulipia kivuko cha daraja mimi siliafiki kabisa.
 
Nafikiri ulimsikiliza ila hukumwelewa hata mie nilimsikiliza wananchi wapita kwa miguu watapita bure ila wenye magari watalipia na akasema msemakweli ni mpenzi wa Mungu.

Hayo maneno kwenye nyekundu utakuwa umeongezea wewe, au labda wewe ulimsikiliza kwenye jukwaa moja mimi nikamskiliza kwenye Jukwaa lingine. BTW, hao wataopita kwa magari siyo wananchi? au ndiyo Tanzania ukishanunua ki-IST cha kukuwahisha kwenye michakato yako ushakuwa "mwenyenacho"!! Wenye daraja lao walisha fafanua kitambo kabisa kwenye mikakati ya mwanzo ya ujenzi kuwa waenda kwa miguu hawatalipa lakini magari yatatozwa ushuru kidogo, hilo wala si la magufuli, ni la wenye daraja! (japo faida za biashara hawatoagi gawio kwa wenye pesa zo).
 
Hayo maneno kwenye nyekundu utakuwa umeongezea wewe, au labda wewe ulimsikiliza kwenye jukwaa moja mimi nikamskiliza kwenye Jukwaa lingine. BTW, hao wataopita kwa magari siyo wananchi? au ndiyo Tanzania ukishanunua ki-IST cha kukuwahisha kwenye michakato yako ushakuwa "mwenyenacho"!! Wenye daraja lao walisha fafanua kitambo kabisa kwenye mikakati ya mwanzo ya ujenzi kuwa waenda kwa miguu hawatalipa lakini magari yatatozwa ushuru kidogo, hilo wala si la magufuli, ni la wenye daraja! (japo faida za biashara hawatoagi gawio kwa wenye pesa zo).

Usibishe bana tafuta you tube huko clip ya huo mkutano.
 
Kuna nchi nimeshuhudia watu wanatozwa pesa kidogo kwa kupita na magari barabara za juu, kama hutaki kupita njia za chini, kwa maana labda kwaweza kuwa na foleni kidogo, bei inategemea na umbali. Lakin hili la daraja ndiyo nitaanza kusikia + kuona hapa dar, Tanzania.
 
Labda mimi sielewi!

Sijawahi kusikia dunia hii kuna nchi inatoza hela ya kutumia barabara au daraja, zaidi ya kodi, fines. Hii ya daraja la Kigamboni kuja kulipia kila unapotumia/kupita mi naona haijakaa sawa. Kwani kodi tunazolipa zinafanya nini? Panton tunalipia sababu ya kulipia gharama za uendeshaji kama. Mafuta, spare nk. Sasa daraja tunatalipia kwa sababu gani?

Jana nilikuwa nasikiliza BBC hadi mtangazaji akashangaa kusikia litakuwa la kulipia. Wana JF naomba mnieleweshe sababu ya kuja kulipia hilo daraja ni nn? Na je huo utaratibu kuna nchi nyingine unatumia?

Na nini maana ya public goods?

Nawasilisha
Kuna nchi nyingi tu zina utaratibu huu. Tembea uone sio kukurupuka tu.
 
Huyo mtangazaji wa BBC kama kashangaa kweli basi itakuwa kwa sababu nyengine, sio kwa kuwa hajawahi kusikia ama kuona ama kutumia barabara na madaraja ya kulipia. Uingereza barabara hizo zimejaa tele, pamoja na nchi nyengine zilizoendelea.

Katika nchi zinazoendelea zenye huduma kama hizo ni pamoja na China, Thailand,...

Asiyeweza kulipia daraja apande pantoni au apige mbizi :]


yap China zipo barabara kibao za kulipia, hazinaga foleni kabisa, na watu hulipia kiroho safi tu
 
Hayo maneno kwenye nyekundu utakuwa umeongezea wewe, au labda wewe ulimsikiliza kwenye jukwaa moja mimi nikamskiliza kwenye Jukwaa lingine. BTW, hao wataopita kwa magari siyo wananchi? au ndiyo Tanzania ukishanunua ki-IST cha kukuwahisha kwenye michakato yako ushakuwa "mwenyenacho"!! Wenye daraja lao walisha fafanua kitambo kabisa kwenye mikakati ya mwanzo ya ujenzi kuwa waenda kwa miguu hawatalipa lakini magari yatatozwa ushuru kidogo, hilo wala si la magufuli, ni la wenye daraja! (japo faida za biashara hawatoagi gawio kwa wenye pesa zo).

we lafa kweli! uliona wap daraja wanalipia kokote dunian? ulikuwa wajibu wa serikali kujenga hilo daraja
 
Achani ushamba na nyie! Akhhhh, watu wanalipia barabara sembuse daraja! We unadhani hizo flyovers nani atalipia? Kama unahela andika proposal jenga barabara weka geti kila anayepita 500Tsh,
Wasiotaka wapite barabara za kawaida zenye foleni na makorongo!
Ndo dunia ya kibepari hiyo
 
Achani ushamba na nyie! Akhhhh, watu wanalipia barabara sembuse daraja! We unadhani hizo flyovers nani atalipia? Kama unahela andika proposal jenga barabara weka geti kila anayepita 500Tsh,
Wasiotaka wapite barabara za kawaida zenye foleni na makorongo!
Ndo dunia ya kibepari hiyo

huo ni ubepar wa ccm; hata ss magar yanalipa kwa njia ya kodi za magar lkn co kwa style hyo yenu. Daraja ni kiungo nyet hata kwa usalama, mf ikitokea vta wenyenalo watalifunga au watakaa kutoza? hatuendelei kwasababu ya akr finyu za ccm
 
Watu wanapotawaliwa na mfumo usiomtambua Mungu lazima mambo yataharibika tu! yaani kulipia daraja ni sawa na baba ununue chakula alafu uwaambie wanao wapige donei ndio wale eti kisa pesa ya kula kakupa kakupa jirani du! huu ubepari ni mbaya sana, sasa nini kazi ya baba katika familia.
 
Hata mimi nilibaki mdomo wazi baada ya kusikia eti itakuwa ni kulipia kupita hapo darajani. Sielewi!!!

Mtaelewa tu Kwan ccm.

Unadhani hizo elfu tano tano mlizopewa zitarudije?????

Maisha yatakuwa magumu sana ccm ikirudi madarakani.

Hamkupiga kelele wakati bodaboda walipoambiwa kulipia kwenda mjini, leo kulipia daraja ndo mnatoa mimacho kama fundi saa
 
Back
Top Bottom