DA, Hadithi hii kakufundisha nani?
Wajukuu zangu wote, watiifu kwa watukutu, hadithi hii imetufundisha nini?
Mpigieni makofi DA tafadhali.
Na huu ndio mwisho wa kipindi hiki cha Mama na Mwana kwa siku hii ya leo. Tukutake wiki ijayooo!
Cheichei shangazi, tufurahi shangazi, shangazi, shangazi ooooh shangazi....cheicheiiii shangaziii!
Pole MJ1...itabidi mzidi kupambana na changamoto za nyakati...Mimi naogopa sana nikiangalia speed zenu!
By the way, hujui kuwa jina la Babu lilishapigwa chini? Naogopa kuitwa mlozi kama huyo kikongwe wa Loliondo. Nikiitwa Babu halafu watu wakapanga que mbele ya kibanda changu cha mbavu za mbwa nitawapa nini? Mimi sijui hata herb moja! Nimebwaga manyanga mdogo wangu!
Mkuu umesahau,
Siku zote kitamu ni cha mwenzio!
Pole MJ1...itabidi mzidi kupambana na changamoto za nyakati...Mimi naogopa sana nikiangalia speed zenu!
By the way, hujui kuwa jina la Babu lilishapigwa chini? Naogopa kuitwa mlozi kama huyo kikongwe wa Loliondo. Nikiitwa Babu halafu watu wakapanga que mbele ya kibanda changu cha mbavu za mbwa nitawapa nini? Mimi sijui hata herb moja! Nimebwaga manyanga mdogo wangu!
Unashabikia nini DC???
Amekataa hilo jina
Aisee! OMG!:hatari::hatari::hatari:
Pole MJ1...itabidi mzidi kupambana na changamoto za nyakati...Mimi naogopa sana nikiangalia speed zenu!
By the way, hujui kuwa jina la Babu lilishapigwa chini? Naogopa kuitwa mlozi kama huyo kikongwe wa Loliondo. Nikiitwa Babu halafu watu wakapanga que mbele ya kibanda changu cha mbavu za mbwa nitawapa nini? Mimi sijui hata herb moja! Nimebwaga manyanga mdogo wangu!
DC mpendwa,
With serious note naomba ufafanuzi kwenye hiyo red hapo kabla sijainywea bia hii nauli niliyodunduliza tayari kwa safari ya kuelekea Semunge Village!
Mkuu,
Unataka ufafanuzi gani kuhusu babu wa Loliondo? Wewe nenda tu ukafanye experiment halafu utakuja kutusimulia!
Ila DC anaamini huyo jamaa ni mlozi kama walivyo wanga wengine!
Ulishaamua kunikwaza toka jana. Hebu nenda kwenye hoja mchanganyiko ukaungane na Miss Judith kuna thread kaanzisha huko sijakuona
Amekataa hilo jina
Anataka jina gani sasa?