Hii imekaaje wapendwa

MJ1 ... haya mambo yapo sana siku hizi ... recently i witnessed the very same occassion DA aliyo-post hapa ... mke wa jamaa aliandaliwa graduation ceremony na ex wa mumewe without yeye kujua through wifi yake. huyo ex wa jamaa ni bishost na dada wa mumewe ... ex aliandaa kila kitu kwa kushirikiana na wifi mtu ... mpaka shughuli inakwisha mke hakuelewa lolote ... mawifi zenu hawa kuweni nao macho!!

Back to story ... naweza thibitisha machache kwamba ...

1. hao ma-ex bado wana mahusiano ya kingono kwa sana tu ... hizo guts za kuandaa birthday sio mchezo ... kwa watu wasio na mawasiliano ya karibu ni kitu ambacho hakiwezekani!!

2. mke wa jamaa yuko kizani ... hajui kama mumewe alikuwa / ana mahusiano na jamaa ... ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa yeye kuliruhusu hilo na kuweza kushiriki ... ili lajionesha katika participation ya huyo ex-shosti kuwa mbali wakati wa events za kulishana keki ... she & he were trying to hide their active status!

dada zangu ... siku hizi watu wanaoongoza kwa kutembea na waume za watu ni marafiki za mawifi, marafiki (madashosti) zenu wa kike, wakina mama / dada majirani, na ma-ex wa waume zenu. Kuweni makini ... hawa watu ni hatari kuwa karibu na waume zenu!!

... i'm out!!

Nimesoma imebidi nigonge tu thanks nakunyamaza maana haya mazito tena mno
 
Changamoto kwa mke wake. Huyo Ex wake yaonesha alikuwa anampenda kwa dhati. Huyu anayeishi naye napata mashaka, yawezekana hata birthday ya husband wake haikumbuki

Acha majungu, kukumbuka birthday ya mtu sio kipimo cha kwamba unampenda.
Huyo dada aliyeandaa sherehe hajatulia na huenda uwezo wake kifedha ndio unamsumbua, na ukute aliolewa na huyo mwanaume huku akiwa hampendi ila alifuata mihela, hivi umeolewa na mwanaume unayempenda kwa dhati unaweza kujiangaisha kumfanyia sherehe mwanaume mwingine kweli. Nina wasiwasi kwanza watakuwa wanaendelea na uhusiano hamna cha ex walanini hapo
 
Acha majungu, kukumbuka birthday ya mtu sio kipimo cha kwamba unampenda.
Huyo dada aliyeandaa sherehe hajatulia na huenda uwezo wake kifedha ndio unamsumbua, na ukute aliolewa na huyo mwanaume huku akiwa hampendi ila alifuata mihela, hivi umeolewa na mwanaume unayempenda kwa dhati unaweza kujiangaisha kumfanyia sherehe mwanaume mwingine kweli. Nina wasiwasi kwanza watakuwa wanaendelea na uhusiano hamna cha ex walanini hapo

Eti birthday halafu kakaa high table. hivi ilikuwa ya nini hiyo sherehe utafikiri mtoto. Dena mwambie shostito mtenda hutendwa
 
Jana nilialikwa kwenye sherehe na rafiki yangu.

Tukiwa tumekaa kwenye maakuli na kunywa kwa sana nikamuuliza rafiki yangu huyo vip mwenye sherehe ni nani yako akaniambia ni Ex wake nilishituka kidogo lakini sikuonyesha kwa sana.

Kumbe bwana kamfanyia sherehe ya kuzaliwa Ex wake wa more than ten yrs, cha kushangaza sasa wife home hakukumbuka hiyo tarehe wala kusema happy birthday my husband, pia naye alihudhuria kwenye sherehe iliyoandaliwa na huyo bidada, mdada kaolewa ana watoto wawili na jamaa kaoa na watoto watatu juu.

Wapendwa tuwe tunaachana bila kinyongo huyu mdada nilimpenda sana kwa hiyo roho yake na kumbukumbu sikumdadisi sana kwanini waliachana niliona nisijeharibu sherehe ya watu bure.


Sijui waungwana mnalionaje hili ruksa au???

mhh.apa utasikia tukumbushie we si x wangu?! Namiss utundu wako!Wanawake bwn! Mi nashauri mkiachana muachane kweli kama ni kupigiana simu isiwe ile ya mara kwa mara,mazoea hujenga tabia! Nlishaona x-partners wanawatoroka wanandoa wao na wanaenda kukumbushia huko Bongoyo. Kwa mtindo huo tunampa mbu kazi ya kutibu malaria. Ila kwa party yenu mi siwapingi,ila ningekuwa mhusika na nkagundua hapo hapo ntakushauri muendelee na party zenu milele.
 
mhh.apa utasikia tukumbushie we si x wangu?! Namiss utundu wako!Wanawake bwn! Mi nashauri mkiachana muachane kweli kama ni kupigiana simu isiwe ile ya mara kwa mara,mazoea hujenga tabia! Nlishaona x-partners wanawatoroka wanandoa wao na wanaenda kukumbushia huko Bongoyo. Kwa mtindo huo tunampa mbu kazi ya kutibu malaria. Ila kwa party yenu mi siwapingi,ila ningekuwa mhusika na nkagundua hapo hapo ntakushauri muendelee na party zenu milele.


Kweli umesema mkuu
 
heee inamaana eksigelifrendi ndio kaifanya hiyo besdei? Kama ndivyo mi naona Kama anajipendekeeeeza tuu kwa mabwana za watu na sio kingine
 
heee inamaana eksigelifrendi ndio kaifanya hiyo besdei? Kama ndivyo mi naona Kama anajipendekeeeeza tuu kwa mabwana za watu na sio kingine

Inawezekana mwaya kuonyesha labda anavijisenti
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom