Anafanana sana tabia yake na ya chama fulaniHuyu mchungaji hapitwagi na jambo
Yeye huenda na zinazo trend
Kama ni simba, amber rutty, taifa stars naye anajichomekaga humo humor
Anyways 2020 twende na msiba
Hapa utekeji na manyanyaso tu
Huyu naye tangu apewe kijambio na ambaruty kama shukrani ya dhamana mahakaman anarukia rukia yasiyo mhusu.Yani Kunguni ataombewa..
Seriously??View attachment 1157419