Hii imekaaje? ukimuhitaji hakuhitaji na usipomuhitaji anakuhitaji

Hii imekaaje? ukimuhitaji hakuhitaji na usipomuhitaji anakuhitaji

Mwanapropaganda

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
4,235
Reaction score
2,512
Habari zenu wanajamvi letu pendwa la mmu.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Katika suala zima la mahusiano hasa kwenye hatua ya mwanzo ya kutaka kumueleza mtu wako kuwa unamuhitaji kuwa naye kama wapenzi/ wachumba tunakuwa tunategemea majibu yanayoweza kuturidhisha kama tunavyotegemea kumbe hali ni tofauti.

Katika uzi huu naomba nieleweke kwa namna ya "kuhitaji" kama kitu cha msingi kinachoweza kuanzisha na kuendeleza mahusiano vile vile kujenga na kubomoa.

Katika tatizo la "kuhitaji" nililoliona katika maisha yangu hata ya urafiki wa kawaida ni kwamba; Wakati unapoonesha kumpenda mtu naye akajua hivyo kwamba unampenda na kuhitaji kitu kwake anakuwa hana hamu na wewe.

Mtu wa aina hiyo unaweza kumjua kama mwanzo mlikuwa mna-share info na kupeana salamu hata kwa simu lakini akishajua kuwauna shida naye saana hata ukimtumia ujumbe anaweza akauona na asikurudishie kwa wakati au asikujibu kabisa.

Vile vile mtu wa aina hiyo hiyo endapo utaamua kupunguza ukaribu naye wowote ule anaanza kuwa kama wewe ulivyokuwa mwanzo na wewe kuwa kama yeye. Yaani wakati hakuhitaji uanakuwa na hamu naye sana na usipomuhitaji yeye anakuwa na hamu sana na wewe.

Kupitia vuta nkuvute hii nimejaribu kuona kama kuna uwezekano wa kua-act kama humuhitaji mtu ambaye unamhitaji sana ili nione kama matokeo yanaweza kuwa kinyume na tendo husika nikaona kuwa hiyo inawezekana lakini inahitaji uvumolivu tu.

Siku zote kitu unavhokipenda utatamani uwe nacho karibu wakati wote na kinapokosekana kwa muda mfupi kinaonekana ni adimu sana hivyo kinapotokea unaweza kutafuta fursa ya kukisogelea lakini ukashindwa kwa kuwa nacho kinasogea kwa kuwa hampatani(unamhitaji wakati yeye hakuhiaji)

Wale wataalam wa saikolojia wanaweza kueleza vizuri ni kwanini hii inatokea? unaweza kufanya uchunguzi kwa watu wako wa karibu ilo kudhitisha nikisemacho.
 
Jadilini pamoja umuhimu wa ukaribu wenu. Yawezekana anakutumia msg 5 wewe unajibu moja. Wiki inapita humjulii hali wala kumuupdate umesafiri au uko home unaumwa.

Ukimchunia na yeye atauchuna akitegemea utawasiliana nae. Bad enough akutane na wanaojua what's the meaning of communication in love utamkosa kabisa while you still love each other
 
Mapenzi ni kama kufukuza kivuli, ukiyafuata yanakukimbia, ukiyakimbia yanakufuata.. Dawa ni ndogo, yaone ya kawaida, tulia. Yatakuja.
^^

Umenigusa mkuu. Mimi nina 27 yrs nilikuwa natoka na mkaka mmoja ofisini,anakuja kwangu analala na mimi hivyohivyo kwake. Amesubiri nimeenda likizo akamuengage his long time girlfriend bila mimi kijua,nilosema ngoja nimchungulie insta ndo nakutana na mapicha. Aysee nimeumia mnoo nimekata tamaa kwani naona umri ushaenda, nanilikuwa namtegemea tuane. Naumia mno kola nikimuona mbaya zaidi yupe naye ofisi moja. Nimetoka likizo kaja kwangu kaniongelesha wee na sababu zisizoeleweka nikajikuta nafanya nae tena mapenz, naomba mnisaidie jinsi yakujitoa jamni. Kwani nashindwa kumove on,wakati tayati yeye amechumbia.
 
tulia mambo yatakuja yenyewe .. fanya nafasi yako that all

Hapa lengo si kuzungumzia uhusiano wangu binafsi, bali kwa kila mtu.
Nakumbuka mwaka fulani niliwahi kumtokea binti mmoja ambaye nilivutiwa naye lakini alinizungusha mara moja tu nikamuacha na nikapunghza mawasiliano naye hatimaye nikawa kama nimemsahau. Wakati namtamkia alikuwa anaonesha kutokuwa na hisia za ukaribu na mimi lakini baada ya kumpotezea ameanza kunisumbua mara kwa mara lakini mimi naona kuwa sio hitaji langu la sasa hivyo anakuwa kama nilivyokuwa wakati nina shida naye.
Huo ni mfano kwenye mapenzi tu ila hata kwenye urafiki wa kawaida mambo na kanuni ni zile zile tu.
 
Hapa lengo si kuzungumzia uhusiano wangu binafsi, bali kwa kila mtu.
Nakumbuka mwaka fulani niliwahi kumtokea binti mmoja ambaye nilivutiwa naye lakini alinizungusha mara moja tu nikamuacha na nikapunghza mawasiliano naye hatimaye nikawa kama nimemsahau. Wakati namtamkia alikuwa anaonesha kutokuwa na hisia za ukaribu na mimi lakini baada ya kumpotezea ameanza kunisumbua mara kwa mara lakini mimi naona kuwa sio hitaji langu la sasa hivyo anakuwa kama nilivyokuwa wakati nina shida naye.
Huo ni mfano kwenye mapenzi tu ila hata kwenye urafiki wa kawaida mambo na kanuni ni zile zile tu.

sawa nimekuelewa umeandika kama unanigombeza loh
 
Umenigusa mkuu. Mimi nina 27 yrs nilikuwa natoka na mkaka mmoja ofisini,anakuja kwangu analala na mimi hivyohivyo kwake. Amesubiri nimeenda likizo akamuengage his long time girlfriend bila mimi kijua,nilosema ngoja nimchungulie insta ndo nakutana na mapicha. Aysee nimeumia mnoo nimekata tamaa kwani naona umri ushaenda, nanilikuwa namtegemea tuane. Naumia mno kola nikimuona mbaya zaidi yupe naye ofisi moja. Nimetoka likizo kaja kwangu kaniongelesha wee na sababu zisizoeleweka nikajikuta nafanya nae tena mapenz, naomba mnisaidie jinsi yakujitoa jamni. Kwani nashindwa kumove on,wakati tayati yeye amechumbia.

Pole sana! Njoo PM kwa msada na ushauri zaidi.
 
ukichukuaa likizo kwenye hayo madude ndo watu wanakuja kama utitiri siku uwe na uhitaj sasa
tena sa hiyo una hamu yake
WEEEEE KILA MTU HAPOKEI SIM NA AKIPOKEA UNAPEWA JIBU LA NYODO

MAPENZI NI game
 
most people we run to fall inlove....we don't let love fall in us. so let love lead the way.
 
Back
Top Bottom