Hii imekaaje Naomba ushauri...

Okey.

#YNWA

Wrote from Anfield...!!!
 
kweli maisha ni game. hata stress za
uchumi mbaya hazimsumbui, wakti mi nalia hata niotee kubarua Cha serikali, kuna mwingine ameacha. boss nipe kibarua kwenye shamba lako, au kama una biashara yako kwenye sells.
Upo vizuri kwenye upande huo wa sales.?
Kama ndio tuwasiliane pm
 
Hongera Sana mkuu,, mawaziri yako mazuri Sana,,, ila kuwa na subira,, wapo wengi Sana watumishi wa una wanatamani kuacha kazi Kama wewe ila wameshindwa kwa sababu ya uoga,,, umekuwa role model wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…