Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Walewale mnaodhani cha ku offer ni Pussy tu daadek yaani pesa akupe yeye unaona nongwa kumpa
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.
Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.
Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Nadhani hukunielewa. Nimemaanisha mwanamke mwingine angejisikia vibaya na kuweka kinyongo kwamba mpenzi/mume wake amempatia yeye 50k ya sikukuu na kutumia pesa kubwa zaidi kwa ndugu zake. Nadhani unaelewa wanawake wengi kwenye issue za kifedha wanakuwa wabinafsi.Mkuu kwani 50k kwaajili ya sikukuu sio big deal? Ama kweli JF kila mtu ni tajiri
Itakuwa haamini hata binti 2 kutumia zaidi ya 1m kwa ajili ya kusherehekea sikukuu,, mmoja alinunuliwa viatu kwa dollar 200, mwingine alikatiwa flight kwenda kula sikukuu na mama yake na kurudi chuoni, hatufanani uwezo, lakini mimi nilipewa elf 50 Tena huku ananiambia hayuko vizuri kifedha,Nadhani hukunielewa. Nimemaanisha mwanamke mwingine angejisikia vibaya na kuweka kinyongo kwamba mpenzi/mume wake amempatia yeye 50k ya sikukuu na kutumia pesa kubwa zaidi kwa ndugu zake. Nadhani unaelewa wanawake wengi kwenye issue za kifedha wanakuwa wabinafsi.