cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,122
- 136,629
wee tayar umeshavuka mtego.Ni kutumia ubongo kwa usahihi,, lengo la kunijulisha yote hayo ilikuwa ni nini, ilhali anafanyaga miamala yake mingine pasipo mimi kujua nikajiongeza tu ulikuwa mtego,, mitego ni mingi mno na hata leo naweza kutegwa