Hii imekaaje kwa mpenzi anayekupa kiasi fulani cha pesa halafu ndani ya siku mbili anaomba 75% ya pesa aliyokupa

Ni kutumia ubongo kwa usahihi,, lengo la kunijulisha yote hayo ilikuwa ni nini, ilhali anafanyaga miamala yake mingine pasipo mimi kujua nikajiongeza tu ulikuwa mtego,, mitego ni mingi mno na hata leo naweza kutegwa
wee tayar umeshavuka mtego.
 
Wanaume wana mitego, na mitego yao kwetu ni kwa kutumia pesa,ungempa aliyoomba ungejiongezea nafasi kubwa ya kula mara mia ya hiyo 2.5,, nakumbuka x-mas ya mwaka jana alinitumia 50k kwa ajili ya sikukuu hapo hapo bintize walitumia karibia 1m kwa ajili ya sikukuu,mama yake 300k na hizo zote akanijulisha, sikubadilika wala kujaa kinyongo nilikuwa normal tu nikamshukuru km kipofu aliyeona mwezi, guess what nimeambiwa nichague nchi nzuri kwa utalii ndani ya Afrika kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu mwaka huu
You are one in a million. Noelia Nadhani jamaa ameshalitambua hilo.
 
Mwakuliwa in the context! Pesa kidogo 2.5M tone ya sms yako na attitude haifanani na majidai yaliyo kwenye maudhui.

Mwakuliwa anataka project ndefu ila wewe ni Mwakulakula tu.
Watu mnajua fasihi sana kuchambua dhima ya mada, hahaha..
 
😍😍😍 Shukrani Sana, tunajitahidi kubembelezana tusogeze haya maisha
Upendo ni kitu chenye baraka sana, kama mwanaume atampata mwanamke wa aina yako. Nimpongeze jamaa kwa bahati aliyopata kwa sababu amepata mwanamke mwenye roho ya kuridhika, kwa mwanamke mwingine ingekuwa big deal kupewa 50k kwa ajili ya Christmas.
 
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Tabia za kimachame hizi

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Upendo ni kitu chenye baraka sana, kama mwanaume atampata mwanamke wa aina yako. Nimpongeze jamaa kwa bahati aliyopata kwa sababu amepata mwanamke mwenye roho ya kuridhika, kwa mwanamke mwingine ingekuwa big deal kupewa 50k kwa ajili ya Christmas.
Ukishajua nafasi yako wala hivyo vitu havikusumbui, mitego ni mingi nayopewaga bahati njema sina papara na tamaa, mi mwanaume, akinipa mapenzi, matunzo muhimu inanitosha, hayo mengine hayanishtui,
 
Hapa wanaume ndo tunapokwama..huwa tunafanya mambo mengi ili kuwafurahisha Hawa viumbe wanawake...tunasahau kuwa wanawake Ni wasaliti tangia enzi na enzi...samson kwa delila..Adam kwa Eva...hata umjengee ghorofa mwanamke hawez kuja kukuheshimu
 
Upendo ni kitu chenye baraka sana, kama mwanaume atampata mwanamke wa aina yako. Nimpongeze jamaa kwa bahati aliyopata kwa sababu amepata mwanamke mwenye roho ya kuridhika, kwa mwanamke mwingine ingekuwa big deal kupewa 50k kwa ajili ya Christmas.
Mkuu kwani 50k kwaajili ya sikukuu sio big deal? Ama kweli JF kila mtu ni tajiri
 
Hapa wanaume ndo tunapokwama..huwa tunafanya mambo mengi ili kuwafurahisha Hawa viumbe wanawake...tunasahau kuwa wanawake Ni wasaliti tangia enzi na enzi...samson kwa delila..Adam kwa Eva...hata umjengee ghorofa mwanamke hawez kuja kukuheshimu
Naunga mkono hoja mkuu, unajua mwanamke hata umfanyie nini atakusaliti tu na ndio maana huwa nikiingia kwenye mahusiana nitafanya ninacho kiweza na sio kwa kumridhisha.
 
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Alafu mkiitwa wabinafsi mnaona mnaonewa! angekuwa mbahili angekupa hiyo hela?
 
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa..... wanaume tuna kazi kubwa sana hapa duniani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom