Bunchari
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 677
- 841
Habari wakuu,
Nimekua nikijiuliza kimya kimya pengine wanajukwaa mmebahatika kukutana na hili.
Miaka 3 iliopita wakati nipo chuoni nilianzisha urafiki na dada flani baada ya kuwa nikimsaidia kimasomo, kiukweli alikua mrembo wa sura mpaka mvuto kadri muda ulivyozidi kusonga nilianza kumfahamu kiundani na kugundua ana mtoto mdogo ambae amekua akimtunza bila usaidizi wa baba wa mtoto.
Huku mtaani pia mabinti wazuri wengi nao kutana nao ktk shughuli mbalimbali wengi wana watoto wakilea bila usaidizi wa baba( wanaita single mother)
Wanajukwaa hili suala lipo vipi kwa dada zetu hawa wenye urembo uliotukuka?
Nimekua nikijiuliza kimya kimya pengine wanajukwaa mmebahatika kukutana na hili.
Miaka 3 iliopita wakati nipo chuoni nilianzisha urafiki na dada flani baada ya kuwa nikimsaidia kimasomo, kiukweli alikua mrembo wa sura mpaka mvuto kadri muda ulivyozidi kusonga nilianza kumfahamu kiundani na kugundua ana mtoto mdogo ambae amekua akimtunza bila usaidizi wa baba wa mtoto.
Huku mtaani pia mabinti wazuri wengi nao kutana nao ktk shughuli mbalimbali wengi wana watoto wakilea bila usaidizi wa baba( wanaita single mother)
Wanajukwaa hili suala lipo vipi kwa dada zetu hawa wenye urembo uliotukuka?