Hii hatari: Watu 3034 nafasi 4, interview ya LAPF

Hii hatari: Watu 3034 nafasi 4, interview ya LAPF

Mtoa mada acha akili za mgando pia acha dharau unataka watu watu wote wawe wamachinga
 
Shame on you Graduates..
Kabla ya kuanza kuilamua Nchi , ivi nyie Graduate kwann bado mna mawazo mgando saana ... huu utitiri wote unasababishwa na vichwa vyenu kujiiandaa kuajiriwa kuliko kujiajiri .

Hii hatari , nauona Uzembe wa Wahitimu ndipo baadae nitaailamu serikali

Kwahio kwa mfano kama mtu ni rubani unashauri ajiajiri vipi anunue ndege yake?
 
Wajanja wakati wa kusoma, kwenye kazi kila mtu anakuwa kama mjinga.... hivi kabisa watu wote hao 3000+ na 4 tu ndo wanatakiwa afu we nae waenda
Sasa si unakuwa hujui hadi ufike? Au huwa wanawaambiwa kwenye barua za kuwaita?
 
Hapo kila mtu ana 0.13% ya kupata kazi na 99.87% ya kukosa.
Huu uduanzi for til.
 
Shame on you Graduates..
Kabla ya kuanza kuilamua Nchi , ivi nyie Graduate kwann bado mna mawazo mgando saana ... huu utitiri wote unasababishwa na vichwa vyenu kujiiandaa kuajiriwa kuliko kujiajiri .

Hii hatari , nauona Uzembe wa Wahitimu ndipo baadae nitaailamu serikali

acha matusi ndugu wewe ulifuata nini hapo DUCE?
 
Shame on you Graduates..
Kabla ya kuanza kuilamua Nchi , ivi nyie Graduate kwann bado mna mawazo mgando saana ... huu utitiri wote unasababishwa na vichwa vyenu kujiiandaa kuajiriwa kuliko kujiajiri .

Hii hatari , nauona Uzembe wa Wahitimu ndipo baadae nitaailamu serikali

Watanzania wanatakiwa waamke, wajichange na hicho kidogo walichonacho wajitengenezee ajira sio kuendeshwaendeshwa, ndio maana maofisi mengi wananyodo sana kwasababu graduates wengi wanawaza kuajiriwa tu, mtu hata kama analipwa laki mbili yupo tu kisa kaajiriwa ofisi fulani while anamdharau Mama ntilie wakati kwa mwezi Mama ntilie anamzidi kipato, mkiamua group ya watu kadhaa mkichanga mlichonacho, mnafanya ishu ya maana kuliko kutangatanga kwenye mainterview ya ajabu ya kukatisha watu tamaa wakati una uwezo wa kuzalisha ajira
 
Shame on you Graduates..
Kabla ya kuanza kuilamua Nchi , ivi nyie Graduate kwann bado mna mawazo mgando saana ... huu utitiri wote unasababishwa na vichwa vyenu kujiiandaa kuajiriwa kuliko kujiajiri .

Hii hatari , nauona Uzembe wa Wahitimu ndipo baadae nitaailamu serikali

Wape mtaji wajiajiri wengine watoto wa maskini ambao wazazi wanategemea kilimo apate gunia zake kadhaa alishe familia asomeshe na akiba yake kama uonavyoona jinsi mabadiliko ya hali ya hewa then umwambie ajiajiri wapi anapata mtaji ndugu wamekuwa wagumu kusaidia wengine
 
Uyo aliesema tz hamna wasomi wapo waliokaa shulen hembu na yy ajaribu kukaa tuone maana wengine mnafkr elimu n kirahcrahc tu
 
Dah kaka we noma sana !! we ulikuwa theater gani .... mi nilikuwa E
 
Asilimia 50 ya watu waliohudhuria pale duce wana kazi zao ila wanatafuta sehemu yenye maslahi zaidi.
 
tunawaambia vijana njooni kijijini mlime hamtaki mnapenda kuzurura mjini,aibu kwenuu!!!?!?
 
Tusitafte sabab za kuonewa huruma,watoto was maskini cjui nini,kama MTU alikuja kwenye hiyo interview it means ana vigezo.kuna watu wengi sana Tz hawakupata hata hiyo chance ya kusoma issue sio mtaji ni mindset.mikopo kwa sasa imehairishwa sana ni kuamua tu which path to take.mi nilianza na mkopo wa lak 2 last yr ckuwa now namalizia million 2 nina fursa ya million 4 mbele yangu nikiamua na ngaz mwisho wake ni 50 mil....ni kuamua tu nafkir ndio issue kubwa wengi wanaogopa kuanzia chini si discourage watu wasitafte kazi lakin nashaur wakat unatafta have a stream inayoingiza kipato
 
Mtoa mada ndo una mawazo mgando..kama ingekua kujiajiri tu kuna haja gani ya kusoma sasa? ..mtu anatakiwa kufanyia kazi fani aliyosomea, ujasiriamali ni misemo ya kisiasa tu

Unasoma ili uelimike na ufute ujinga sio kama ulivyokariri unasoma ili ufanyie kazi ulichosomea maana asilimia kubwa ya watu hawafanyii kazi walichosomea sababu ya ujaba wa ajira mtazamo kama huu wako ndo unawafanya watu washindwe kujua hizo degree walizozisomea zinaweza fanyiwa kazi kwa kitu kingine
 
tunawaambia vijana njooni kijijini mlime hamtaki mnapenda kuzurura mjini,aibu kwenuu!!!?!?

kweli haujitambui sio wote waliofika kwenye interview ni wakazi wa Dar nafasi inapotangazwa haibagui muombaji anatoka kijijini au mjini
 
Ukijiajili utahitaji watu wa kukusaidia kazi inamaana utaajili sasa kama na wao wakigoma kuajiliwa utajiali vipi hii inaonyesha ni jinsi gani mtoa maada alivyokulupuka kutoa kashfa.
 
Ndo maana sikwenda, manaake kutoka mara mpaka dar ingenicost sana. Alafu mtu unagharamika kwenye hakuna.
 
Mm kaka yangu yungu LAPF HR..jana kaniambia yaani hizo nafasi zishapata watu kitambo na washaanza..but kulikuwa na mfurugano kwani kila mkubwa alikuwa na wake..mwisho wa siku walikubaliana waenda wa kadhaa next wengine watapewa nafasi...nawaonea huruma waliopoteza muda na nauli..kusoma huwezi ata picha uioni????....
 
Shame on you Graduates..
Kabla ya kuanza kuilamua Nchi , ivi nyie Graduate kwann bado mna mawazo mgando saana ... huu utitiri wote unasababishwa na vichwa vyenu kujiiandaa kuajiriwa kuliko kujiajiri .

Hii hatari , nauona Uzembe wa Wahitimu ndipo baadae nitaailamu serikali

Ningekutukania Mama yako lakini kwa heshima tuu ya wazazi Sitamtukana Mama yako.....................hivi umetoka poor family labda hamna nyumba ya kuweka Dhamana umepata degree kwa mkopo wa serikali 100%hapo unajiajiri nini! Usikatishe tamaa watu mbwa wewe!
 
Back
Top Bottom