Hii Hapa Link ya Polepole Conference

safi mkuu --- hawa ccm mimi nafurahi tu wanavotifuana to be fair 🤣, jahazi hili lilizama 2020 na kuligeuza hapa miaka kadhaa inabidi ipite. (labda watumie nguvu mkuu au nasema uongo?)
 
safi mkuu --- hawa ccm mimi nafurahi tu wanavotifuana to be fair 🤣, jahazi hili lilizama 2020 na kuligeuza hapa miaka kadhaa inabidi ipite. (labda watumie nguvu mkuu au nasema uongo?)
Huyu yuko na kundi lake na wamejipanga nilisubiri nisikie tu kitu kimoja ili niconfirm nilichofikiri mwanzo na ilikuwa ni kuhusu mama Abdul kujipitisha pekeyake kinyume na katiba yao sasa wanamkalia kooni.

Hili jahazi lilizama kabisa 2020 kama unavyosema na sasa baada ya hii press tusubiri gunia la machawa wa buku 7 kama kina Lucas Mwashambwa likifunguliwa kuja kudiscredit alichoongea.
 
Hakuna niliposema sipendi kumsikiliza mkuu wewe bado hujanielewa ila utanielewa akishamaliza kuongea, kwa sasa acha nieche uelewe km ulivyoelewa
Hapo ulipom quote yule jamaa ni kama umetumia lugha ya mkazo na ya mshangao kuwa kwanini anataka kumsikiliza Polepole.....ndio maana nikakuambia muache mtu afanye kulingana na utashi wake
 
HUWEZI PATA AMANI BILA HAKI. -- INAANZA HAKI INAFUATA AMANI == SLOWSLOW


huyu jamaa anataka kufanya nianze kumuaminiamini🤣




Hatari sana
 
Naam mkuu, hapa ni kusubiri tu developing events

dog eat dog - kwa hisani ya mabeberu (mbwa kala mbwa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…