Habari zenu wakubwa!
Kuna kitu natamani kuelimishwa, mimi ni mtumiaji wa Azam TV, huku kwetu tunauziwa Tsh 99,000 complete but without any package ang Tsh 55,000 Dekoda pekee without any package.
Unalazimika kununua package ya Tsh 28,000 ili iweze kufunguliwa baada ya kununua.
Ila sasa kuna hizi Azam tv kutoka Uganda & Malawi hizi ndio naweza kuzisemea coz nimezitumia, ukinunua Dekoda mpya kwa wanaziuza hapa kwetu ni Tsh 55,000 but inakua na package ya mwezi mzima tena inafungua channel zote kabisa.
Na malipo yake kwa mwezi ni tofauti na kwetu. Tanzania kuna package za
Tsh 35000
Tsh 28000
Tsh 19000
Tsh 12000
Wakati Malawi ni
Mk 15000
Mk 10000
Mk 4500
Mk 2500
Na lazima ujue hizi kwacha ni nfogo uki convert na pesa yetu.
Sasa kwanini sisi tunalipia pesa nyingi sana wakati huduma ni ileille kwa wote!!
Mwisho wa Siku ukihitaji Unafuu kwenye package switch kwenda Malawi or Uganda
Kuna kitu natamani kuelimishwa, mimi ni mtumiaji wa Azam TV, huku kwetu tunauziwa Tsh 99,000 complete but without any package ang Tsh 55,000 Dekoda pekee without any package.
Unalazimika kununua package ya Tsh 28,000 ili iweze kufunguliwa baada ya kununua.
Ila sasa kuna hizi Azam tv kutoka Uganda & Malawi hizi ndio naweza kuzisemea coz nimezitumia, ukinunua Dekoda mpya kwa wanaziuza hapa kwetu ni Tsh 55,000 but inakua na package ya mwezi mzima tena inafungua channel zote kabisa.
Na malipo yake kwa mwezi ni tofauti na kwetu. Tanzania kuna package za
Tsh 35000
Tsh 28000
Tsh 19000
Tsh 12000
Wakati Malawi ni
Mk 15000
Mk 10000
Mk 4500
Mk 2500
Na lazima ujue hizi kwacha ni nfogo uki convert na pesa yetu.
Sasa kwanini sisi tunalipia pesa nyingi sana wakati huduma ni ileille kwa wote!!
Mwisho wa Siku ukihitaji Unafuu kwenye package switch kwenda Malawi or Uganda