mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,842
Ungekuwa msafi usingekuwa unaenda chooni na majiHakuna kitu kama hicho watu waache uchafu aisee....! Mtu unakuta akicheka meno yamejaa ukungu, ulimi una utandu mweupee, makucha marefu yamejaa uchafu, mtu kama huyo unamteteaje? Tuache uchafu asee