Hii hali ya watu kunuka mdomo na jasho ni ugonjwa au ni uchafu

ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.

miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.

Mimi nimekaa na wachina dah mkuu zile nguruwe zinanuka balaa, sijawahi kukas na race tofauti na hao wachina nione na wao kama wananuka.
 
kiumbe ambaye hapendezi akinuka ni mtoto wa kike tu,wanaume tuna mambo mengi sana kunuka ni kawaida.

tatizo linaanza hapa wewe mwanaume mwenzetu unapokwazika na harufu hizo.
hatuwezi kunukia masaa yote.
 
Kuna dr. lecture flani alipat kusema ukitaka kujua wewe ni msafi kiasi gani weka vidole vyako makalioni then unuse.
giphy.gif
 
Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu
Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia
Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa
Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa
Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah

Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana

Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah


Usafi Muhimu
Dawa nyingi za meno ni fake..hapa wakulaumiwa ni tbs yetu..

Kuhusu mwili kunuka ni uchumi labda wengi wanashindwa kumudu kununua perfume..

na pengine kutokujali tu.. Kuna watu wao wapowapo tu ni wachafu by nature..
 
Mvua imenyesha ya kutosha jana na leo huko Dar. Muanze kuoga sasa wale mliokuwa mmeenda likizo ya kuoga japo mara mbili kwa siku kwa sababu ya uhaba wa maji.
 
Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu
Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia
Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa
Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa
Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah

Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana

Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah


Usafi Muhimu
Bila shaka huu uzi una mahusiano na Ile Pilau ya IFM,
 
Kuhusu kunuka mdomo(kutoa hewa yenye harufu mbaya) kunaweza kusababishwa na vitu vifuatavyo.
1. Uchafu ulioganda kwenye meno(mabaki ya vyakula)
2. Maambukizi kwenye kinywa (meno na fizi)
3. Maambukizi kwenye Koo na pua.
4. Maambukizi ya bakteria wa vidonda vya tumbo na
5. Kutosafisha kinywa na ulimi kwa umakini.
Kuhusu kunuka jasho,inaweza kusababishwa na mambo yafuatayo.
1. Hali ya hewa ya joto
2. Hulka ya Moto( mwili wenye asili ya kutoa jasho lenye harufu Kali au kunukuka kikwapa hata Kama Hali ya hewa so ya joto)
3. Kutokujisafisha vizuri hasa maeneo yaliyojificha.
4. Kutooga Mara kwa Mara
Mtu anapojigundua kuwa ana tatizo hasa la kunuka mdomo hupoteza ujasiri na huanza kujitenga na watu. Kupona tatizo hilo hutegemea na chanzo chake. Waone wataalumu wa afya
 
Waswahili Wana msemo wao unasema.
LAKE MTU HALIMTAPISHI.
inawezekana hata wewe unanuka ila kwa kuwa NI wewe mwenyewe unaona poa.
Ndivyo kwa BINADAMU wote tulivyo.utamuona mwenzio ananuka ila harufu yako utaichukulia poa.
Hakuna kitu kama hicho watu waache uchafu aisee....! Mtu unakuta akicheka meno yamejaa ukungu, ulimi una utandu mweupee, makucha marefu yamejaa uchafu, mtu kama huyo unamteteaje? Tuache uchafu asee
 
Kunuka mdomo na kutoa harufu Kali ya jasho ni ugonjwa kama magonjwa mengine.ila wakati mwingine kutozingatia usafi wa kinywa na kuoga walau mbili kwa siku husababisha hali hiyo pia.
 
Back
Top Bottom