Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,492
- 2,472
ukitaka kujua kama binadamu tunanuka hata tuwe wasafi kiasi gani, kaa karibu na mtu ambaye anatoka katika race tofauti na yako.
miaka fulani niliwahi ku-date demu wa kizungu. licha usafi wote aliokuwanao na manukato mazuri yote aliyokuwa anajipulizia, bado alikuwa na kiharufu fulani hivi cha kukera ambacho watu weupe karibia wote wanacho.
Mimi nimekaa na wachina dah mkuu zile nguruwe zinanuka balaa, sijawahi kukas na race tofauti na hao wachina nione na wao kama wananuka.