Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 4,694
- 4,198
Wasafiri chungeni sana chakula na vinywaji vyenu, sio unabakizabakiza na kuviacha kwenda kuchimba dawa kisha ukavirudia! Na usikubali ofa ya msosi kwa jirani usiyemfahamu na mjihadhari sana na nusu-kaputi!