mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,287
- 1,855
Wengi wa wanaoshiriki ni wahindi nilijoin kwa kuwa tulitakiwa kuunda vikundi vya watu watano baada ya kuanza hatua za kwanza baadae tuliungwa kwenye group la what'sapp wote lakini huko walikuja na kusema watu lazima waanze wawili wakati kwenye tangazo watu walitakiwa kuanzia mmoja hadi watano nikaona sitaweza kuqualify kwa kigezo cha idadi ya watu maana kwenye team sikupata member hata nilipojaribu kushirikisha wa home hawakirespomd je hii ni kwa wahindi tu au vipi
www.techgig.com
Login : Largest Tech Community | Hackathons, Programming & Coding Challenges | TechGig.com
Login : Largest Tech Community | Hackathons, Programming & Coding Challenges | TechGig.com