exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,190
- 3,685
Hii ni habari amboyo nimeipata.
Basi mwenye kujua undani wa hii habari kua kulingana na janga la ugonjwa unaosambaa covid19 kampuni ya VodaCom inatoa msaada kugawa tsh.80,000/= kwa wateja wanaotumia M-pesa.
Nawasilisha.
Yuda wa yakobo
UFAFANUZI KUTOKA VODACOM
Basi mwenye kujua undani wa hii habari kua kulingana na janga la ugonjwa unaosambaa covid19 kampuni ya VodaCom inatoa msaada kugawa tsh.80,000/= kwa wateja wanaotumia M-pesa.
Nawasilisha.
Yuda wa yakobo
UFAFANUZI KUTOKA VODACOM