Hii Guest House kiboko

safis sana........... tena kuna bango la sonara kabisa, ukishaokoka unapita kwa sonara, unamnunulia kakobe au mama lwakatare cheni na kupeleka church
 
piga ua, hiyo lazima itakuwa na kunguni na ukilalamika binti wa receiption anaanza kukemea 'shindwa, shindwa, ajenti ....'
 
Kuna moja ukienda Chanika-Pwani imeandikwa KIKUBWA ROHO GUEST HOUSE
 
384529_273221986046916_100000773500533_694806_1291445532_n.jpg


Self bei yake Tsh.6000/= kwa usiku mmoja
Single bei yake Tsh.3000/= kwa usiku mmoja
Shikamoo mkuu Fidel80.
 
Hapa mkiwa wawili wenye jinsia tofuti, hampati chumba hadi muonyesha cheti cha ndoa chenye picha.
 
Back
Top Bottom