Kuna guest inaitwa Wasi wasi Lodge - iko Mikese.................
Fidel bana nenda hotel achana na mambo ya guest house
hiyo Njombe mkubwa. Sasa Fide kwa sasa tunaoishi mbali unatushaurije ili kuokoa gharama?
Yap nimeipenda tukio ndani tunapeana neno tu kwenda mbele
twende hapo nini?hahahaaaaaaaaaaaa
hiyo Njombe mkubwa. Sasa Fide kwa sasa tunaoishi mbali unatushaurije ili kuokoa gharama?
Shikamoo mkuu Fidel80.
Self bei yake Tsh.6000/= kwa usiku mmoja
Single bei yake Tsh.3000/= kwa usiku mmoja