Labda huo mti uliota chini ya gari ukalibebea juu kipindi unakuwa

Labda huo mti uliota chini ya gari ukalibebea juu kipindi unakuwa![]()
This makes sense best.
Sio picha halisi, ni photoshopNinawaza kipupwe, lakini huo upepo wa kupeperusha gari usivunje mti? Na kama ni kipupwe hali ya dereva humo ndani ikoje?
Mkuu, umevuta bangi?Hilo sio gari bari ni matawi ya mti yamekaa kama gari.mwisho wa kuwasilisha
No! Nimeinywa kabisa na maji mithili ya mtu anavyokunywa dawaMkuu, umevuta bangi?
No! Nimeinywa kabisa na maji mithili ya mtu anavyokunywa dawa

