Hayajakukuta wewe nakwambia hayajakukutaNilishaweka nadhiri sipandi bodaboda, wacha nichelewe tu.
Hahahahaa! Kuna watu wakisikia 4/26, poovu linawatoka!mwendokasi hazipo leo ..watu wamejaa barabarani yaani imekuwa kama 26/4
Itakuwa Dar jiji la karahaAisee, hapo ni mkoa gani ulipo kwenye hiyo foleni katika Jamhuri yetu hii ya Muungano wa Tanzania?
ahaaaa kumbe!Itakuwa Dar jiji la karaha
Labdaahaaaa kumbe!
Geita, ChatoAisee, hapo ni mkoa gani ulipo kwenye hiyo foleni katika Jamhuri yetu hii ya Muungano wa Tanzania?
Nikukute hapo una mkojo kwenye kichupa nina kazi naoGeita, Chato
Aombe assistKama hana hela ya bodaboda?
Njoo uchukueNikukute hapo una mkojo kwenye kichupa nina kazi nao
Watu wanalazimisha kila jambo liende kisiasaNilikuwa nasubiri comment ya hivi...CDM wakichukua nchi kutakuwa hamna foleni,unatoka nyumbani non-stop hadi kibaruani!
mh!Nilikuwa nasubiri comment ya hivi...CDM wakichukua nchi kutakuwa hamna foleni,unatoka nyumbani non-stop hadi kibaruani!
Mengine hata yakilazimishwa haya "match" kabisa.Watu wanalazimisha kila jambo liende kisiasa
Hahaaa unakuta Uzi unazungumzia mapenzi, jitu linachangia hatuna nguvu za kiume sababu ya ccmMengine hata yakilazimishwa haya "match" kabisa.
hahaah, au kama ule uzi wa Mwanahabari Huru eti akina mama Mwanza amewapenda wanafanya biashara wakiwa na jezi za CHADEMA na hali ni wanawake watatu tu (3) nilicheka sana. Siasa hizi!!!!!Hahaaa unakuta Uzi unazungumzia mapenzi, jitu linachangia hatuna nguvu za kiume sababu ya ccm
Leo VW kaiacha...Naona unatest German machine 360kph
Ameshalipia nauli, akishuka itapotea bure.Shuka kwenye daladala panda bodaboda