Hizo fedha za kununulia hayo mabasi ya " Utalii" kazitoa wapi?Maajabu hayaishi duniani! Ashindwe mmiliki wa HAZINA aweze Meya ?
Niko radhi kuchelewa ndege kuliko kulala MOI na antenna! Halafu huwa napanda ndege strategically....za usiku au alfajiri.
Hahahah umewaza mbalimwendokasi hazipo leo ..watu wamejaa barabarani yaani imekuwa kama 26/4
Ha ha ha hamwendokasi hazipo leo ..watu wamejaa barabarani yaani imekuwa kama 26/4