Hii foleni Posta jijini Dar ni hatari...

Hii foleni Posta jijini Dar ni hatari...

Sio lazima ubaki kwenye gari shuka tembea kwa miguu kama unaona kero.
 
Maamuzi magumu sana mkuu. Kwanini? Disclaimer: pikipiki binafsi ndio njia yangu kuu ya usafiri hapa mjini na mkoani.
Tofautisha pikipiki binafsi na bodaboda. Mimi nimeamua sipandi bodaboda kwa usalama wangu. Nawaona wanavyoumia/kufa na abiria wao. I do not wanna be a statistic!
 
Nilisahau flash ina file muhimu nikasema nitoroke nirudi kuichukua home...nimekutana na foleni kuanzia bamaga mpaka salender...tarehe zenyewe mbaya hizi nmeunguza wese ile mbaya bora ningepanda bodaboda.

Leo kuna foleni sana Ali hassan mwinyi road
IMG_20180316_110921.jpg
 
Nipo hapa Aga khan kuelekea Palm Beach dakika 40 tumesogea mita 10!
Huko Mwenge si tutafika kesho! Mlioko maeneo ya moroko,makumbusho kuna nini huko?
Data given
t=40min
d=10m
Soln
Recall from
V=d/t
V=10/40 m/min
V=0.25m/min[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Utafika kesho kutwa mkuu,mtafika sawa na mtu aliyeanza safari leo ya kwenda Kigoma
 
Nilisahau flash ina file muhimu nikasema nitoroke nirudi kuichukua home...nimekutana na foleni kuanzia bamaga mpaka salender...tarehe zenyewe mbaya hizi nmeunguza wese ile mbaya bora ningepanda bodaboda.

Leo kuna foleni sana Ali hassan mwinyi roadView attachment 716756
Hatarious...nimepita hapo AH Mwinyi 30mins ago kuna mnyororo balaa!
 
Data given
t=40min
d=10m
Soln
Recall from
V=d/t
V=10/40 m/min
V=0.25m/min[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Utafika kesho kutwa mkuu,mtafika sawa na mtu aliyeanza safari leo ya kwenda Kigoma
Aisee....umesahau WHEN OTHER FACTORS REMAIN CONSTANT i.e traffic police favor!
 
Hayajakukuta wewe nakwambia hayajakukuta
Mkuu wacha kbc kuna mtu na yeye aliweka nadhiri kama hii ya Rrondo siku anaenda air port mwenyewe aliipanda bila ubishi tena kwa mwendo wa pesa(speed kali)[emoji2][emoji2][emoji23]
 
Mkuu wacha kbc kuna mtu na yeye aliweka nadhiri kama hii ya Rrondo siku anaenda air port mwenyewe aliipanda bila ubishi tena kwa mwendo wa pesa(speed kali)[emoji2][emoji2][emoji23]
Niko radhi kuchelewa ndege kuliko kulala MOI na antenna! Halafu huwa napanda ndege strategically....za usiku au alfajiri.
 
Mayor wa Chadema yupo yupo tu, anajitahidi kuongeza foleni kwa kununua mabasi ya " Kutalii" badala ya kuzitumia hizo fedha kujenga miundombinu ya kupunguza foleni.
 
Back
Top Bottom