Hii foleni Posta jijini Dar ni hatari...

Hii foleni Posta jijini Dar ni hatari...

Nilikuwa nasubiri comment ya hivi...CDM wakichukua nchi kutakuwa hamna foleni,unatoka nyumbani non-stop hadi kibaruani!
Hahaha si unajua tena prondo,Vp Umefika safari yko lkn

Ova
 
kwani nchi yako haijajenga fly over ya kutoka pale aga khan hosp hadi morocco? au msimbazi hadi ubungo kukiwa na michepuko ya kukumwaga magomeni mapipa,magomeni mwembe chai,manzese ?wewe unaishi nchi gani?
 
mimi binafsi pia nimeweka hiyo nadhiri toka mwaka 2014 baada ya kushuhudia ajali mbaya ya boda boda ya uzembe wa madereva boda wawili waliogangana kwenye makutano kabla mmoja hajakanyagwa na lori... nashukuru mpaka leo sijaivunja... boda boda sipandi hata iweje

Hayajakukuta wewe nakwambia hayajakukuta
 
mimi binafsi pia nimeweka hiyo nadhiri toka mwaka 2014 baada ya kushuhudia ajali mbaya ya boda boda ya uzembe wa madereva boda wawili waliogangana kwenye makutano kabla mmoja hajakanyagwa na lori... nashukuru mpaka leo sijaivunja... boda boda sipandi hata iweje
Wewe kama mimi mkuu. Uhai ni muhimu kuliko haraka.
 
mimi binafsi pia nimeweka hiyo nadhiri toka mwaka 2014 baada ya kushuhudia ajali mbaya ya boda boda ya uzembe wa madereva boda wawili waliogangana kwenye makutano kabla mmoja hajakanyagwa na lori... nashukuru mpaka leo sijaivunja... boda boda sipandi hata iweje
Bodaboda zinatisha ila ukibanwa unajikuta umepanda tu..
 
Nakwambia hivi, sipandi bodaboda. Labda niende kijijini nitapanda zile zinazoingia kusiko na barabara. Ila hizi za kupita katikati ya magari jiji hili la makonda, hapana.
Maamuzi magumu sana mkuu. Kwanini? Disclaimer: pikipiki binafsi ndio njia yangu kuu ya usafiri hapa mjini na mkoani.
 
Back
Top Bottom