kumbe ulichelewa?Nimechelewa dak 1 tu check in wamenizuia kabisa pamoja na kubembeleza kote kule halafu naenda kusogeza tiketi mbele wanadai 255 Ikabidi nikakate air Tanzania tiketi mpya kwa 230
Acheni kuharibu biashara za watu, nilishachelewa Muda wa Check in ikawa imebaki dk 15 ndege kuondoka na waliniruhusu, wewe utakuwa umefika muda ushaisha na abiria wameshaingia kwenye ndege na ishajiandaa kuondokaNimechelewa dak 1 tu check in wamenizuia kabisa pamoja na kubembeleza kote kule halafu naenda kusogeza tiketi mbele wanadai 255 Ikabidi nikakate air Tanzania tiketi mpya kwa 230
Nakushauri tu uwe unawahi, kuna siku hata ATCL utawalaani kwa kuchelewa kwako mkuu.Air tanzania wanakupokea maana tumeingia na watu wake wao wamepita sisi ndo tumezuiwa
Siku na wao fastjet wakichelewa kuondoka wazuie wasiondoke. Ila nawapongeza kwa kujali muda maana nilisikia abiria wa ATCL wakilalamika siku moja kuchelewa kuondoka kisa kumsubiri Mh.Wao wanajidai wanajali mda wao wa kuondoka lakini ikitokea wao wamechelewa inabidi uwasubiri ila wewe ukichelewa hawakuelewi
Pole mkuu tiketi yako utatumia wakat mwingine
Mzee Mwenzangu, mashirika yote ya ndege ni ovyo tuuu, na hata msimamizi sijui P nini nini hukooo, kwanza wako wawili tuu halafu wanafunzi. Mm nishapata raha na karaha kwa mashirika yote ya hapa nchini, ni kuomba lisikukute na kupunguza uzembe.Duh!
Nimetoka kununua tiketi ya Fastjet muda mfupi tu ulopita...nafungua JF nakutana na huu uzi!
Alhamdulillah uzi hauhusu huduma yao [FastJet] bali uzembe wa mwanzisha mada.
La sivyo ningeanzisha zogo
Imetoka hiyo