school boy
Member
- Aug 19, 2014
- 42
- 10
Nna rafiki yangu ambaye mimi ni kama kaka yangu wa mtaa amehustle kutoka o level mpaka A level kwakua hana mtu yeyote wa kumtegemea kajisomesha kwa bodaboda wiki shule wiki mtaani o level alifail akarisit kapata credit advance katoka na 14 history D geography D kiswahili E na Gs F
Chakushangaza first selection hakupata na second pia hakupata na aliaply teaching tu bado kakosa sielewi nimshauli nini na diploma kasema hawezi kujisomesha mpaka alipo fikia ada hataweza kulipa ni yatima hana ndugu wa kumsaidia.
Chakushangaza first selection hakupata na second pia hakupata na aliaply teaching tu bado kakosa sielewi nimshauli nini na diploma kasema hawezi kujisomesha mpaka alipo fikia ada hataweza kulipa ni yatima hana ndugu wa kumsaidia.