Hii dharau sijapata kuiona!!

Hii dharau sijapata kuiona!!

Nimeishia tu kucheki mlevi akikata mauno ya sangoro ya Diamond. Wameniuzi sana
 

Attachments

  • 1451161587689.jpg
    1451161587689.jpg
    28.3 KB · Views: 416
Mhhhh aisee afadhali yangu mimi nakunywaga Bavaria, au nayo inaleta nzi jamani?
Nilikuwa sijui hili!
[emoji85] [emoji85] [emoji85]

Nasikia hiyo Bavaria nayo ina makusudi yake.
 
Ndugu zangu nimeonelea siku hii ya kumalizia Xmass nikachomeshe kitimoto kwenye bar flani huku mtaani kwetu. Wakati nikiwa nasubiri ili kuepuka usumbufu wa kuulizwa mara kwa mara kaka tukusaidie nini nimeamua kuagiza soda. Niliofika nao pamoja wameagiza bia (pombe) na kuhudumiwa faster kwa kupewa meza na viti huku mimi nikiambiwa viti vimeisha!! Nimesimama hadi miguu ikaniuma nikaamua kusogea kaunta ili niegemee kaunta ninywe hiyo soda ya kusubiria kiti moto,wakati nikiwa hapo kaunta nimeona viti vitatu vikiwa tupu bila watu (vimewekwa akiba). Sijui niwape faka au nisubiri tu pork yangu nisepe:what:


Huo ni mkosi kutokana na KITIMOTO
 
Napendaga kweli dharau za namna hii.....

Ningelianzisha timbwili la haja....... wangemleta mmiliki kuja kupozaa
Huyu jamaa ange anza kumtafuta manager....amueleze! Hao wahudumu wamewawekea wanao wapa bia za bure...
 
hapo counter unataka kubambia bambia wahudumu wakupandishe stimu eheee
 
Ubaguzi ni tatizo katika biashara za tanzania. Kwani hamjawahi ona mtu anazidishiwa bei kwa kuwa ana gari au ana kitambi?
 
Sasa sisi tukushauri nini na Bar umeshaondoka! au unataka uwarudie ukalianzishe upya? Acha kula hiyo Kiti moto ni mbaya kwa Afya, (Sina haja ya kuweka fact coz hii kitu tumei discuss sana tu humu)
 
Sasa sisi tukushauri nini na Bar umeshaondoka! au unataka uwarudie ukalianzishe upya? Acha kula hiyo Kiti moto ni mbaya kwa Afya, (Sina haja ya kuweka fact coz hii kitu tumei discuss sana tu humu)
Acha uzushi usio na kichwa wala miguu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom