Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
Unauliza jibu!!
....we kubwa zima unakunywaje soda bar arifu!...na kakitimoto kenyewe robo umejaza mindizi kibaaaaaoo!
...we ulitakiwa ukae chini kabisa!
Unauliza jibu!!
Acha uzushi usio na kichwa wala miguu.
....we kubwa zima unakunywaje soda bar arifu!...na kakitimoto kenyewe robo umejaza mindizi kibaaaaaoo!
...we ulitakiwa ukae chini kabisa!
Kkkkkkk mkuu Upiversity nina watoto mkuu walikuwa wamelala sharti niwahifadhie wakumbane nayo asubuhi kwenye breakfast. Umenichekesha sana yaani kama ungekuwa mhudumu naona ungenitoa nduki.