The Panther
Member
- Feb 2, 2012
- 62
- 38
Bwanae si wengine vilaza, tuelewesheni jamani, hizo ni publication as of books au papers?MAMA RWAKATARE ANAFUNDISHA NA KUTUNGA VITABU VYA ELIMU YA NDOA WAKATI YEYE MWENYEWE AMEMFUKUZA MUMEWE!!!!!!!!!!!!!!!
HUUU NI USANIII!!!!!!!!!!
Dr. Rev. G. Rwakatare: Where will you spend your Eternity, Dar Es Salaam 2001 Dr. Rev. G. Rwakatare: Tembe za Ndoa, Dar Es Salaam
2004 Dr. Rev. G. Rwakatare: Namna Ya Kuendesha Biashara kwa Faida, Dar Es Salaam 1999 Dr. Rev. G. Rwakatare: Niende wapi kwa misaada na mikopo, Dar Es Salaam 1984
Kama ni Books Publisher ni nani? ISBN number year of Publication na reviewers ni kina nani?
Kama ni papers amepublish Journal gani maana naona Dar es Salaam kila kitu..hiyo ni sehem alikoandikia papers au ndo jina la Journal?