Mi mdogo wenu ndo nimehitimu kidato cha sita na matokeo yangu ni Physics-E,Chem-E,Biology-D,BAM-S and GS-S. Tangu mwanzo nimekuwa nikipendelea kusoma INFORMATION TECHNOLOGY. Swali langu wana jf ni kwamba,kwa matokeo hayo naweza kusoma hiyo kozi(degree level) na bodi inatoa mkopo kwa watu wanaosoma kozi hiyo?