KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 36,510 Reaction score 88,977 Dec 30, 2017 #1 Ni hiyo beat ya sebene inayoanza ktk kipindi cha hawavumi lkn wamo ITV.. Wakuu naombeni msaada naipataje.. kwa anaeijua naomba aieweke hapa...
Ni hiyo beat ya sebene inayoanza ktk kipindi cha hawavumi lkn wamo ITV.. Wakuu naombeni msaada naipataje.. kwa anaeijua naomba aieweke hapa...
TAI DUME JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 11,173 Reaction score 30,656 Dec 30, 2017 #2 Hahaaa huwa nacheka sana nikimuonaga uyo mtangazaji. Ana fit kwenye icho kipindi na yeye siku zote hizo havumi lkn yumo
Hahaaa huwa nacheka sana nikimuonaga uyo mtangazaji. Ana fit kwenye icho kipindi na yeye siku zote hizo havumi lkn yumo
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 36,510 Reaction score 88,977 Dec 30, 2017 Thread starter #3 he! kwahiyo hakuna ajuae..?
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 36,510 Reaction score 88,977 Jan 3, 2018 Thread starter #5 Eisher said: Mi sijui Click to expand... Unajua ila hutaki kuniambia!
D dogowakitaa Senior Member Joined Nov 29, 2017 Posts 169 Reaction score 161 Jan 3, 2018 #6 Si ufanye converting ya video to audio
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 36,510 Reaction score 88,977 Jan 3, 2018 Thread starter #7 dogowakitaa said: Si ufanye converting ya video to audio Click to expand... mkuu hicho ni kipande tu kimetumika kwenye hicho kipindi
dogowakitaa said: Si ufanye converting ya video to audio Click to expand... mkuu hicho ni kipande tu kimetumika kwenye hicho kipindi
K kisukari JF-Expert Member Joined Jul 16, 2010 Posts 4,604 Reaction score 4,127 Jan 3, 2018 #8 Hii beat kwenye celebrity forum iliwekwa ni ndefu kidogo.m Congo alikuwa anacheza balaa.
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 36,510 Reaction score 88,977 Jan 3, 2018 Thread starter #9 duh! nimepambana na hali yangu mpk nimeipata.. asanteni kwa kushiriki na asante kwa alieanzisha msemo kupambana na hali yako!.. [Mc[/MEDIA]
duh! nimepambana na hali yangu mpk nimeipata.. asanteni kwa kushiriki na asante kwa alieanzisha msemo kupambana na hali yako!.. [Mc[/MEDIA]