Well thanks,
Tunakukaribisha sana katika jukwaa hili. Umekuja leo huku jamvini
Ushauri: Anzisha "THREADS" uwezavyo, na ziwe na mshiko usije ukapigwa "ban". Pia kwenye likes given, ukiona hoja ya mdau imekugusa na kuna ukweli ndani yake, ikubali kwa kuijibu au kuipa "LIKE". Unavyopost mara nyingi ndivyo utakavyo kuwa manajamii mkomavu na utajua/utaelewa mambo mengi.
Wadau wa humu mtandaoni wana mitazamo tofauti tofauti lakini asilimia 90 ni ya kujenga.....ichambue!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.