Hi imekaaje (wahindu watoa maoni katiba mpya) hawa ndiya watanzania special zaidi ya wengine??!

PISTO LERO

JF-Expert Member
Mar 8, 2011
2,819
1,454
attachment.php


Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Awadh Ali Said (kulia) akiongea na Ujumbe wa Baraza la Hindu Tanzania kabla ya Baraza hilo kuwasilisha maoni kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam (Jan 11, 2013). Ujumbe huo uliongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Baraza hilo Bw. Dinesh Vaishnau (Wa tatu kushoto)

NASHIDWA KUELEWA NINI MAANA YA MAKUNDI MAALUM.

Wahindi walijitenga na watanzania wengine kutoa maoni yao wakati tume ikipita mitaani kuchukua maoni ya katiba. Na sasa wamejiweka katika makundi maalum na kwenda kutoa maoni yao kivyao vyao. inamaana wao ndiyo watanzania special zaidi ya wengine na vipi??

HAWA WATU MIMI SIWAELEWI KABISAAAA,

WANAJIITA WATANZANIA LAKINI WANAJITENGA NA WATANZANIA WENZAO KILA MARA INAPOTOKEA SHUGHULI ZA KITAIFA NA KUJIFANYA WAO NI MAALUM SANA KULIKO WENGINE KWANINI??

KAMA NIMEKOSEA NIKOTAYARI KUREKEBISHWA,
 

Attachments

  • tec4_2df59.JPG
    tec4_2df59.JPG
    31.1 KB · Views: 27
Hindu ni dhehebu mkuu, ni kikundi cha dini kama waislam washia au wasuni, au wakristo warutheli au wakatoliki au wasabato, sioni tatizo....
 
tofauti tu ni kwamba dini yao wanasali wao tu haingii mtu mwingine, huwezi kumuona black, au mchina au mzungu kwenye misikiti yao...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom