Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,560
- 9,683
Israeli itageuzwa kama ghaza soonHivi siku Israel nayo ianze kurusha marocketi hovyo kama Hamas na Hezbollah patakalika Beirut kweli?
Kinachonishangaza IDF wakikamata mitambo ya rocket ya Hamas wanaiteketeza tu hata viwanda vya silaha navyo wanaviharibu tu.. I Don't know why.. na kwa Hezbollah wanaviripua tu.
Dawa ya gaidi mpige kigaidi tu na yeye
Hezbollah sio hamas