Hezbollah's heavy missile launches at Israel

Hezbollah's heavy missile launches at Israel

Kweli we maamuma, Paulo hakuwa kuwa mfuasi wa Yesu???? 🤣🤣🤣🤣 ndivyo imani ya kishetani ya kiishmael inavyokudanganya nawe hata kujiongeza holaaaa unameza unachoongopewa kama kilivyo
Leta ushahidi ni wakati gani Paulo alikuwa mfuasi wa Yesu.Walikutana ?alikuwepo kwenye wale 12?Paul alichomoka kutoka kuwa gentile najua hujui hata ina maana gani na kuanzisha propoganda ya kutokewa na Yesu kwenye ndoto.Rudi Sunday School wewe bado sana.
 
Leta ushahidi ni wakati gani Paulo alikuwa mfuasi wa Yesu.Walikutana ?alikuwepo kwenye wale 12?Paul alichomoka kutoka kuwa gentile najua hujui hata ina maana gani na kuanzisha propoganda ya kutokewa na Yesu kwenye ndoto.Rudi Sunday School wewe bado sana.
Nilitegemea umuambie asome Biblia mkuu, unamuomba tena arudi Sunday School,mbona huko hamna kitu,ni mapokeo na upotoshaji mtupu.
 
Nilitegemea umambie asome Biblia mkuu unamuomba tena arudi Sunday School,mbona huko hamna kitu,ni mapokeo na upotoshaji tu.
Sunday School itamfanya ajue kwamba mapokeo na upotoshaji sio dini.Kondoo wa Bwana aendeleze ukondoo wake.Kusoma Biblia hawezi anangoja kuhubiriwa.
 
Leta ushahidi ni wakati gani Paulo alikuwa mfuasi wa Yesu.Walikutana ?alikuwepo kwenye wale 12?Paul alichomoka kutoka kuwa gentile najua hujui hata ina maana gani na kuanzisha propoganda ya kutokewa na Yesu kwenye ndoto.Rudi Sunday School wewe bado sana.
Maamuma mkubwa umekaririshwa uwongo na waabudu shetani wenzio nawe umeubeba na kuja kuuandika hapa. Kwa ufahamu duni ulionao toka kuumbwa kwa ulimwengu wafuasi wa Yesu wapo 12 tu? kweli we ubongo wako tabula rasa. Unadhihirisha upumbavu wako kuhusu bible unavyoropoka kwamba Paulo hakuwa mfuasi wa Yesu.
 
Maamuma mkubwa umekaririshwa uwongo na waabudu shetani wenzio nawe umeubeba na kuja kuuandika hapa. Kwa ufahamu duni ulionao toka kuumbwa kwa ulimwengu wafuasi wa Yesu wapo 12 tu? kweli we ubongo wako tabula rasa. Unadhihirisha upumbavu wako kuhusu bible unavyoropoka kwamba Paulo hakuwa mfuasi wa Yesu.
Leta ushahidi wacha kuropoka tu.
 
Manati yanayorushwa na wavaa vilemba yanazuiwa hata na sufuria
Waw! Sasa hao wajomba watamanio mabikra 72 na mito ya k-vant wasubirie majibu kutoka kwa mwamba. Hakika Hawatapata nafasi ya kupoo. Wataenda kupoo hukohuko kwa mabikra na kando ya mito ya pombe.
 
unaharibu roketi za hezbolah na bado wanarusha,kuufuta gaidi mpigania haki ni ngumu
Mambo mazuri hayataki haraka mnzhehe. Wenzako IDF wako kimahesabu zaidi sio mihemuko kama akina Hezbollah. We subiri game liendelee ndipo mtajua mlikuwa hamumjui IDF.
 
Kama yangekuwa manati Waisraeli >280,000 wasingekuwa kwenye bunkers mkuu na Northern Israel isingekuwa tupu.
Yeah. Ukishambuliwa na kichaa esp. inapokuwa huyo kichaa ana silaha, ni lazima kwanza ujihakikishie usalama wako ww halafu ndipo ujipange kumdhibiti kikamilifu. Waisraeli waliokwisha ingia kwenye bunkers ni zaidi ya 300,000
Yatakayofuata kwa Hezbollah tutayasikia tu. Myahudi hakopeshi hata kidogo.
 
Yeah. Ukishambuliwa na kichaa esp. inapokuwa huyo kichaa ana silaha, ni lazima kwanza ujihakikishie usalama wako ww halafu ndipo ujipange kumdhibiti kikamilifu. Waisraeli waliokwisha ingia kwenye bunkers ni zaidi ya 300,000
Yatakayofuata kwa Hezbollah tutayasikia tu. Myahudi hakopeshi hata kidogo.
Ni kweli waovu hawakopeshi.
 
Hivi siku Israel nayo ianze kurusha marocketi hovyo kama Hamas na Hezbollah patakalika Beirut kweli?

Kinachonishangaza IDF wakikamata mitambo ya rocket ya Hamas wanaiteketeza tu hata viwanda vya silaha navyo wanaviharibu tu.. I Don't know why.. na kwa Hezbollah wanaviripua tu.

Dawa ya gaidi mpige kigaidi tu na yeye
 
Back
Top Bottom