Hey,wanawake sijawasikia kuhusu hapa!

Huwa najiuliza,nyie wanawake mnadai haki sawa,kuna eneo sijasikia mnalizungumzia liondoke,suala hilo ni kuwa;Mwanamke anapoolewa kwanini anabadili ubini?Hii si inakua kama "Umemilikiwa"?Unakuta anaitwa Lydia James Rweyemamu,akiolewa na John Bernad Mushi,anaitwa Mrs Mushi au Lydia Bernad Mushi,Why?Au eneo hili kwenu ni poa?

ukiona mwanamke anabaki na ubini wake ujue kabisa huyo mama ni mtata na hakubaliani na swala la kupewa jina la mumewe..
 
sio wote mana hata maza angu hajabadili hadi leo anatumia jina la mshua wake
 
Ukiolewa utabadili?Na unapobadili unakua unamaanisha nini?Na unapoacha je?

nimeolewa. Sijabadili jina,haswa ofisini natumia jina langu ingawa kwenye nyaraka nimemtambulisha yeye kuwa ni mume wangu.

Na swala hili la jina mimi na mume wangu tulizungumza, tukakubaliana.

Nampenda mume wangu ananipenda, nitumie jina langu au lake haitobadili chochote.
Mie ni mkewe,yeye ni mume wangu na tutakua hivyo mpaka kifo kitutenganishe. . . Sema Amen!
 
BADILI TABIA,sawa,nini kiliwafanya mjadili majina kama sio bip dil?Apart from that Ameeeeeen!
 
Ka swali kazuri!

Sasa Eiyer ndugu yangu, mtoto nimtoe tumboni mwangu mimi mwenyewe, nimpe jina kwa ubini wangu mimi mwenyewe, baba atatambulika kweli?? Mimi mama ninajulikana kwa sababu ndie niliemtoa mwanangu tumboni, wewe baba je?? Just thinking........lakini sio mbaya mama akimuita mwanae jina lake.
 
Unabadili ukitaka, kama hutaki unakaa na jina la ukoo tu.
 
Sasa Eiyer ndugu yangu, mtoto nimtoe tumboni mwangu mimi mwenyewe, nimpe jina kwa ubini wangu mimi mwenyewe, baba atatambulika kweli?? Mimi mama ninajulikana kwa sababu ndie niliemtoa mwanangu tumboni, wewe baba je?? Just thinking........lakini sio mbaya mama akimuita mwanae jina lake.

Kama mtoto umembambikia jina linamaana?
 
Sasa Eiyer ndugu yangu, mtoto nimtoe tumboni mwangu mimi mwenyewe, nimpe jina kwa ubini wangu mimi mwenyewe, baba atatambulika kweli?? Mimi mama ninajulikana kwa sababu ndie niliemtoa mwanangu tumboni, wewe baba je?? Just thinking........lakini sio mbaya mama akimuita mwanae jina lake.
Sometimes unampa mtoto jina lake-la ukoo wa mama-la ukoo wa baba.(mfano: amina (jina lake mwenyewe)-Hamadi (jina la ukoo wa mama, badala ya jina la baba)-Sharif (jina la ukoo wa baba)
Siku hizi inatokea sana tu.
 
Jina kitu kidogo, kwani tukibadili tunabadilika nin? Sisi tunalilia usawa katika mambo ya muhimu na ambayo tukiyakosa yanaweza kuleta impact kwa namna moja au nyingine katika maisha yetu.
 
Nadhan sio ishu kubwa kivile na ndio maana hatuhangaiki nayo kiviiiiiiile,
Mama yangu hakubadili jina na maisha yanaendela mpaka leo,
Binafsi napenda nikiolewa nitumie jina la baba yangu na mwisho nitaongeza jina la ukoo la mume wangu.
 
Jina kitu kidogo, kwani tukibadili tunabadilika nin? Sisi tunalilia usawa katika mambo ya muhimu na ambayo tukiyakosa yanaweza kuleta impact kwa namna moja au nyingine katika maisha yetu.

Kwa mfano viti maalum
 
Back
Top Bottom