Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Huwa najiuliza,nyie wanawake mnadai haki sawa,kuna eneo sijasikia mnalizungumzia liondoke,suala hilo ni kuwa;Mwanamke anapoolewa kwanini anabadili ubini?Hii si inakua kama "Umemilikiwa"?Unakuta anaitwa Lydia James Rweyemamu,akiolewa na John Bernad Mushi,anaitwa Mrs Mushi au Lydia Bernad Mushi,Why?Au eneo hili kwenu ni poa?