Una uhakika na unayosema Mkuu soma vizuri guidelines za mwaka jana na za mwaka huu sasa watu walizoea kufanya kazi kwa mazoea subiri mwaka huu hawakutishi ila Ndalichako anasema sheria lazima zifuatwe kama inavyoainishwakwan mwaka jana si waliandka hvyo hvyo
hakuna kilichobadlika lakin mbona walipata
achen kupanikisha watu
Kama masomo hayana umuhimu bas yafutwe kwenye mitaala ya utoaji elimu TanzaniaKwa sisi tuliosoma kozi za elimu( education) umuhimu wa elimu unategemea sana hitaji la jamii( social need) kwa muda huo. Kwahyo sasa hivi hitaji la jamii ni wataalamu wa nyanja za sayansi. Kuliko kusomesha watu ambao hauna mahitaji nao na hata wao wenyewe hizo kozi sio rahisi kuwasaidia maana watamaliza chuo na kuanza kutafuta ajira ambazo ni adimu sana, ni bora hizo fedha zipelekwe kwenye mambo ya msingi zaidi kwenye jamii kama kutengeneza barabara na kuboresha huduma za afya na elimu msingi.
Wewe mhitimu wa masomo ya sanaa kama familia yako haina uwezo wa kukusomesha ni bora kujiajiri mapema kwenye kilimo na ufugaji kwani tayar hiyo elimu ya kidato cha sita imeshakukomboa kifikra. Usijisumbue kwenda chuo kikuu maana ndo utajiharibu kabisa kimtazamo wa maisha kwa sababu utapenda kuishi maisha standard zaidi wakati uwezo hautakuwa nao, na utaona aibu kurudi kijijini kuendelea na kilimo na kujikuta unaishi mjini kwa ndugu na jamaa huku ukiwa na stress za maisha kibao.
Naomba msinielewe vibaya au kuniona nawaonea wivu, ninaongea kutokana na uzoefu.Karibu chato tulime pamba na mpunga.
Umuhimu upo mdogo na vile wataalamu katika nyanja hizo ni wengi hadi kupitiliza hivyo watakuwa wanapatikani kidogo kidogo kwa kujisomeshaKama masomo hayana umuhimu bas yafutwe kwenye mitaala ya utoaji elimu Tanzania
Looks you have a point. Unaomba mkopo kama una sifa za kudahiliwa kuingia higher education. Kama bado hujajua matokeo, then ni kuwa wanataka wakusanye fedha hata kwa ambao wamefeli mitihani and it is non refundable!Ila huu ni wizi kwanin watu waombe loan kabla ya matokeo?
Afya zote kwa vipi? Form six mwaka jana yameshatoka?Namshukuru mungu nilipata division two mwaka jana ya CBG, So nitaomba afya zote
Means Test Scores ni nini Harnandez. TafadhaliBodi ya mikopo Tanzania (HESLB) imetangaza kuanza kupokea maombi rasmi ya mikopo kwa kutoa Guidelines kwa mwaka 2016/2017 hivyo wananchi wote mnaombwa kusoma kwa makini masharti kabla ya kufanya application mwisho wa ku apply ni 31st July tembelea www.heslb.go.tz for more information
Ndo ujiulize wote ulizaa wa nini hukumjua HESLB kama yupoHili swara linaniumiza kichwa sana ..kuendelea kulipa mamilion ya shilng na hali ya wazaz wetu ilivyo..mbona kama n unyanyasaji..sada hapo ndo ukute nyumban mnasoma watoto 4..ndo utaisoma namba
Hiyo hapo attachedGuideline hiyo iko wapi
Wana mambo ya ajabu.....Sijui wanamaanisha nini hawa jamaa