HESLB yatangaza kupokea maombi 2016/2017

Napenda kuuliza ..kwa ngazi ya diplma naweza pata mjopo heslb nikipata nafasi ya chuo kikuu
kwa zaman walikuwa wanapata coz mi huku wapo nnasoma nao walioptia dip lakn huwa tunapata nao mkopo sa cjui kwa nyie wautawala mpya na system zmebadilika cjui itakuaje
 
Ila huu ubaguz unaofanywa na serkal sio mzuri
Kwa hiyo waliosoma masomo ya sayansi ya jamii hawana umuhimu?
Kwanin mkopo wapewe wa fani nyingine tu
 
naomba wale ndungu zangu walio soma Arts msijisumbue kabisa wala kupoteza mda hata hela zenu maana hiyo imeishakuwa non-priority fanya utaratibu mwingine wa kusoma kinyume na hapo utajisumbua bulee
Vp hata ualimu wa masomo ya art nayo hakuna mkopo watu tukakimbilia huko
 
Mimi nmesoma arts tena hkl na ntaomba mkopo kwa sababu huwezi jua unaweza useme usiombe kumbe ungeomba ungepata so acha nipoteze tuu hela mbona mwaka jana waliandika hivyohivyo na watu wakapata wa arts kama kawaida
Kumbuka hii serikali imejitahidi kuweka watu makini sio kama mlivyozoea
 
Hapa naona anguko kubwa kwa vyuo uchwara vya binafsi ambavyo kimbilio lao kubwa ilikuwa wale wa div. 3. Kama ndo hivi hawatapata wateja maana hawatakuwa na mkopo. Nashauri hivyi vyuo vyao uchwara kama vya SAUT vilivyowekwa kila mkoa na pengine kila wilaya vikabidhiwe serikalini vigeuzwe vyuo vya ufundi.
 
Mkopo hauangalii GPA nzuri wala mbaya..bodi ya mikopo wanaangalia kam una vigezo vinavyokizi ww kupatiwa mkopo ili mradi uwe umepitishwa na bodi ya tcu kujiunga na chuo...GPA nzuri itakusaidia kupata chuo na course nzuri,hiki kigezo ni cha tcu sio bodi ya mikopo..
mkuuu umeeleza vzuriii
 
Ila huu ubaguz unaofanywa na serkal sio mzuri
Kwa hiyo waliosoma masomo ya sayansi ya jamii hawana umuhimu?
Kwanin mkopo wapewe wa fani nyingine tu
Kwa sisi tuliosoma kozi za elimu( education) umuhimu wa elimu unategemea sana hitaji la jamii( social need) kwa muda huo. Kwahyo sasa hivi hitaji la jamii ni wataalamu wa nyanja za sayansi. Kuliko kusomesha watu ambao hauna mahitaji nao na hata wao wenyewe hizo kozi sio rahisi kuwasaidia maana watamaliza chuo na kuanza kutafuta ajira ambazo ni adimu sana, ni bora hizo fedha zipelekwe kwenye mambo ya msingi zaidi kwenye jamii kama kutengeneza barabara na kuboresha huduma za afya na elimu msingi.

Wewe mhitimu wa masomo ya sanaa kama familia yako haina uwezo wa kukusomesha ni bora kujiajiri mapema kwenye kilimo na ufugaji kwani tayar hiyo elimu ya kidato cha sita imeshakukomboa kifikra. Usijisumbue kwenda chuo kikuu maana ndo utajiharibu kabisa kimtazamo wa maisha kwa sababu utapenda kuishi maisha standard zaidi wakati uwezo hautakuwa nao, na utaona aibu kurudi kijijini kuendelea na kilimo na kujikuta unaishi mjini kwa ndugu na jamaa huku ukiwa na stress za maisha kibao.

Naomba msinielewe vibaya au kuniona nawaonea wivu, ninaongea kutokana na uzoefu.Karibu chato tulime pamba na mpunga.
 
Jaman had nashindwa kuelewa.....kuna tetec et kua kama ukitoka dip ili kupata mkopo n lazima ukae kuanzia mwaka mmoja hom bila kujiunga na chuo chochote....kwa hyo et ukiunganisha mkopo hupat.....wengne wanasema et mkopo unatolewa kwa form 6 wenye 1&2...wenye 3 special dip...halaf nyie wengne endeleen kuomba wazaz wenu.......peoples sina hakika na hli....ila natka kuuliza linaukwel wwte??
 
Back
Top Bottom