Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,448
- 16,312
HESLB ni wadhamini wa kipindi cha Powerbreakfast cha Clouds FM, swali ninalojiuliza hapa ni kwamba inakuwaje taasisi ya serikali ambayo ni non-profit institution inajigeuza kuwa profit-based institution?
Sielewi lengo lao la kujitangaza ni nini. Hawana ushindani wowote, hawana mtu wanayeshindana naye, sheria iliyounda taasisi haisemi taasisi itajihusisha na uwekezaji bali kuwakopesha wanafunzi wasio na uwezo wa kulipia gharama za masomo ya elimu ya juu.
Sasa HESLB tuambiane pesa za kudhamini vipindi vya redio mnazitoa wapi, au ndo ile 6% mnayotukata kila mwezi?
HESLB haipaswi kujitangaza la sivyo mruhusu kuwe na taasisi shindani zinazotoa mikopo ya elimu kwa wanafunzi wa elimu ya juu pia.
Sielewi lengo lao la kujitangaza ni nini. Hawana ushindani wowote, hawana mtu wanayeshindana naye, sheria iliyounda taasisi haisemi taasisi itajihusisha na uwekezaji bali kuwakopesha wanafunzi wasio na uwezo wa kulipia gharama za masomo ya elimu ya juu.
Sasa HESLB tuambiane pesa za kudhamini vipindi vya redio mnazitoa wapi, au ndo ile 6% mnayotukata kila mwezi?
HESLB haipaswi kujitangaza la sivyo mruhusu kuwe na taasisi shindani zinazotoa mikopo ya elimu kwa wanafunzi wa elimu ya juu pia.