CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Jamani toeni loan allocation tuweze kujipanga kama mtu hakupata. Maana inaweza ikabidi mtu abadili kozi. Ni rahisi kulipa kozi ya 1.3 M kwa law UDSM, etc kuliko kulipa milioni tano medicine CUHAS, KCMC, IMTU etc. Naweza acha medicine kama sikupata mkopo.