HESLB! mtauwa watu

HESLB! mtauwa watu

mr. loner

Senior Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
168
Reaction score
229
Wakuu Eid Mubaraka. Hakika mwezi huu umekuwa mgumu kwa sisi wafanyakazi, bodi ya mikopo inafyeka mpaka mtu unakosa ufanye nini. Tunaomba mheshimiwa raisi uturudishie ile asilimia angalau tuweze kumudu maisha, kiasi tunachokatwa ni kikubwa mno. Tutaishije?
 
Dawa ya deni ni kulipa. .
Kipindi bumu linaingia ilikuwa miguu juu full
Kula bata. Saiv mnagumia maumivu tuu
 
Mkuu mbona wengine tumeshazoea maana hakuna namna tangu February nilikuta palanja limepita
 
Mbaya zaidi wanabambika watu madeni, unakuta umejisomesha mwenyewe kwa shida, halafu unakuta mshahara wako 15% haipo ukifuatilia unaambiwa bodi...mpaka ukomai irudi sio leo mateso...saa nyingine upo mkoani uende mpaka dar? garama tena... Hawa watu ni kwa nini wakati wa kuomba mkopo unajaza mkataba lakini wakati wa kukata watumishi hawaangalii mkataba wa mtu aliyejaza ndiye akatwe?
 
Wakuu Eid Mubaraka. Hakika mwezi huu umekuwa mgumu kwa sisi wafanyakazi, bodi ya mikopo inafyeka mpaka mtu unakosa ufanye nini. Tunaomba mheshimiwa raisi uturudishie ile asilimia angalau tuweze kumudu maisha, kiasi tunachokatwa ni kikubwa mno. Tutaishije?
Acha kazi ukuje huku tufanye business. Utaendelea kunyonywa mpaka lini?
 
Wakuu Eid Mubaraka. Hakika mwezi huu umekuwa mgumu kwa sisi wafanyakazi, bodi ya mikopo inafyeka mpaka mtu unakosa ufanye nini. Tunaomba mheshimiwa raisi uturudishie ile asilimia angalau tuweze kumudu maisha, kiasi tunachokatwa ni kikubwa mno. Tutaishije?
LHRC walipeleka kesi mahakamani imeishia wapi?
 
Dawa ya deni ni kulipa. .
Kipindi bumu linaingia ilikuwa miguu juu full
Kula bata. Saiv mnagumia maumivu tuu
Unapoongea hebu punguza mihemko. Hakuana anayekataa kulipa, lakini tatizo ni kuingia mkataba mwingine alafu ikija kwenye malipo serikali inabadili gia angani na kuvunja mkataba wa awali na kuleta mkataba mpya ambao sio rafiki kwa mlipaji.
 
Mbaya zaidi wanabambika watu madeni, unakuta umejisomesha mwenyewe kwa shida, halafu unakuta mshahara wako 15% haipo ukifuatilia unaambiwa bodi...mpaka ukomai irudi sio leo mateso...saa nyingine upo mkoani uende mpaka dar? garama tena... Hawa watu ni kwa nini wakati wa kuomba mkopo unajaza mkataba lakini wakati wa kukata watumishi hawaangalii mkataba wa mtu aliyejaza ndiye akatwe?
Yaani hii nchi kila kitu ni kukurupuka, mtu kajisomesha mwenyewe kwa shida alafu ghafla bodi bila hata haya wanamkata!! Au ndio pesa za elimu bure zinatafutwa kwa nguvu!!!
 
Back
Top Bottom