Bodi ya mkopo kwa wanafunzi wanaboa sana unakuta watoto ya tima na walemavu wananyimwa mkopo
Kwakweli hawa wafanya kazi wa dodi hii wamechoka kazi, Magufuli anajitahidi sana kukusanya hela kwa majizi lakini wao bado wanabania hela hadi kwa mayatima na walemavu
Magufuli naomba ulitambue hili maana yote uliyoyaadini kwa yatima na walemavu bodi ya mkopo ndo inawaonea sana hao watu, Rais wetu MAGUFULI liangalie hili
Mi juzi nimesikia taarifa ya habari ikisema wanafunzi woote walioomba Mkopo 2015/16 wamepewa pasipo kuangalia kozi zao,nikastuka kidogo watu tunaumia huku bila Mkopo na kozi uliyochaguliwa ni priority. INAUMIZA SANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.