HESLB: Lot ya sita inatoka lini?

Nov 5, 2015
16
3
Mie nilijua weekend hii wanatoa majina ya lot ya sita lakin hadi sasa bado kimya.anae jua lot ya sita inatoka lini mtujulishe jaman
 
Hela mtapata wala msikate tamaa ila utashangaa mtakavyokuwa wagumu kurejesha itakuwa ni mpaka mbembelezwee were mtafutwe weeee mlambwe lambweeee weeee na mwishoni ni kuongezewa riba ya deni hilo. Tujenge tabia ya kuwa waaminifu ktk kukopa na baadae kulipa.
 
fauzia we acha tu....yan kuna wengne mpaka now hawajafanya usajili waktegemea loan bod
 
watu tunakua wazto kurudsha den tukiona viongoz wanakula kod zetu bure ndo mana tunaamua na cc tuchukue chetu,ila kwasasa titarudsha tu......maana magufuli...........acha tu
 
daah npo mwaka wa kwanza udom, nimekumbwa na mkasa wa kukosa mkopo bt nilivoenda bodi walinambia taarifa zangu hazipo kabisa wakati huo nakala ya fomu niliyoituma kupitia ems ninayo,nilikata tamaa na kuamua kuja kulipia michango yote, lkn kwakwel maisha bila bumu n magum sana aise, mda wa menu ukifka wezangu wanaenda kwa mwarab, mwafrika na wengine ujac naamua kupiga ucingizi tu coz hali ni ngumu, nimekuwa napiga pasi ndefu kutoka asubuh mpaka usiku bila kula chochote, Wiki iliyopita waziri wa mikopo hapa chuoni aliitisha kikao kwa wale tuliokosa mkopo nkaandika jina na namba yangu nkampa na nakala ya fomu yangu kapeleka bodi ya mikopo lakin mpaka saiz cjui hatima yangu, maisha magum sana jamani.!!! wezangu wameshaingiziwa bumu lakini kwa first year hawajui nini maana ya kusaidiana, namshukuru rafiki, dada angu kipez zytuni ameweza kuninunulia kitabu cha SE hakika mungu atambariki!! TUPEANE USHAURI NAMNA YA KUISHI BILA BUMU JAMANI mungu atakubariki
 
yan ikifka kipind cha kusain unataman kulia jinc wenzako wanavyokimbzana kusain.........na kuchekelea
 
Mwenyewe niliomba mwaka jana (2014/2015) nikaambiwa BUDGET EXHAUSTED. Nikajipa tumaini na kuamua kutinga Chuo kwa hisani ya ndugu, jamaa na marafiki. Mwaka huu nikaona nisipitwe nikaomba pia. Kilichotokea hadi sasa ni KIMYAAAA. Bora hata mwaka jana walisema BUDGET EXHAUSTED lkn mwaka huu naona NI KAZI TU
 
Mwenyewe niliomba mwaka jana (2014/2015) nikaambiwa BUDGET EXHAUSTED. Nikajipa tumaini na kuamua kutinga Chuo kwa hisani ya ndugu, jamaa na marafiki. Mwaka huu nikaona nisipitwe nikaomba pia. Kilichotokea hadi sasa ni KIMYAAAA. Bora hata mwaka jana walisema BUDGET EXHAUSTED lkn mwaka huu naona NI KAZI TU

yaani inatia hasira sana, bodi ya mikopo inasababisha nikichukie chama tawala,!! inauma sana bt vp uliwezaje kupambana na changamoto za chuo bila bumu?
 
INAUMA SANA AISEE,!! nadhan jana nilibaki peke yangu chuon wengine wote walikuwa mjini kuspend! daah more than pain

Mr kuwa original usiishi kwa kuangalia huyu kafanya hili ama lile ishi wewe kama wewe usiangalie huyu kala kuku kwa mwarabu ama kile kwa mwafrika maana wote mwishowe mtaenda tu, isitoshe wewe sio wa kwanza kukosa bum feel free and comfortable pia mwombe sana Mungu he will make a way, karibu saa 20 LR 7 ktk ibada kuna kipindi maalumu juu ya neno la Mungu
 
Mr kuwa original usiishi kwa kuangalia huyu kafanya hili ama lile ishi wewe kama wewe usiangalie huyu kala kuku kwa mwarabu ama kile kwa mwafrika maana wote mwishowe mtaenda tu, isitoshe wewe sio wa kwanza kukosa bum feel free and comfortable pia mwombe sana Mungu he will make a way, karibu saa 20 LR 7 ktk ibada kuna kipindi maalumu juu ya neno la Mungu

nashukuru kwa ushaur wako mr mangi ntaufanyika kazi!! mungu akubariki sana nimefarijika kwakwel, ntakaribia ibadan badae npate neno la faraja
 
Mm nilienda bodi ya mikopo kufatilia suala la mkopo kwa ajili ya chuo. Walichojibu ni kuwa nimesoma zamani. Ndilo jibu nilipopewa. Nimesoma 2004 ndo nilemapizq form 4, na form 6 mwaka 2007. mpaka.sasa.sipo lot zote. Lakini cha kushangaza ni kuwa jana usiku wametangaza itv kuwa watu wote waloomba mkopo wamepata. Nahisi taarifa hizi si za kweli
 
Back
Top Bottom