Kwa kweli Mungu tu atupe kuyakubali matokeo pale tunapokosa nafasi na kushukuru kwa wale waliopata ingawa inaumiza sana
,si kwa nia mbaya hapana lakini wapo wanafunzi ambao wamepata mkopo angali wazazi wa familia hata kuwalipia nusu ada wanao uwezo huo,lkn kuna waliokosa angali hata robo ya ada familia hawana kabisa Mungu nakushukuru maana nina afya sipo hospitali