Utaratibu wa bodi wa mwaka huu duuu,
siku za nyuma ilikuwa bodi inatoa taarifa kwanza kwamba watu kadhaa wamepata mkopo,then mkiingia kwenye account kama ujapangiwa unaambiwa ujapangia ila subiri tareh flani ila mwaka huu mara wengine tiyar wengine mkiangalia account ukumbe ni ule ule