Heshima kwa Wanaija

Heshima kwa Wanaija

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
16,824
Reaction score
62,071
Kama kuna taifa linajiamini Africa ni Wanaijeria

Hawa watu kwanza wana umoja na solidarity ya kufa mtu
Siku zote katika nchi yeyeote, ukionea Mnigeria basi fahamu kwamba hawatokaa kimya, lazima watakutia kashkash mpaka siku nyingine itabidi ujifikirie mara mbili kumess nao

Kuna Mwaka mmoja kule Gwangzhou China Polisi wa Kichina aliua MTANZANIA, ni wale Watanzania ambao wamejilipua huko china, wanafanya kazi ya kuuza Kilo kwenye ndege, kutembeza wafanyabiashara wa kibongo madukani n.k

Wakati Watanzania walioko huko wakiogopa nakukimbia huku wakjificha kama digidigi, Wanaijeria wakanunua Msala in the name ya African Solidarity. Wanaume Wakaamua Kufunga barabara iliyobusy sana huko Gwangzhou. Polisi wakaja kujaribu kuwatimua wanaume wakakomaa, hakuna gari kwenda wala kurudi nyuma.
Hali hiyo ilisababisha adha kubwa sana kiasi kwamba wachina wakajifunza kuwa hakuna kumess up na Waanijeria kirahisirahisi

Wanaija Walifunga barabara wakasema mpaka waje viongozi wa Mji wa Gwanzhou waeleze kwa nini Mwafrika huyo kauawa na kwamba Serikali ya Mji huo haitoruhusu polisi kujichukulia sheria mkononi!
Hao ndo Wanaija

Cheki pia kilichotokea south Africa, Kitendo cha kuumiza Mnijeria tu na biashara zake, Wananchi wa Nijeria wamelianzisha huko Naija, Hii unaweza kusema siyo jambo muafaka kulipiza uovu kwa uovu, Lakini wakati mwingine inatuma meseji kwa Vongozi wa Africa ya kusini kuact.

Kinachoonekana ni kwamba viongozi wa Africa ya kusini hawana utashi wa kutumia nguvu za kutosha kukomesha hii hali ya wahuni wa Africa kusini kuvamia biashara za watu na kuzitia moto.
Ule ni uwendawazimu hata NYANI hana akili ndogo kama zile

Wanaija mimi nawkubali sana, TAIFA la watu CONFIDENT ambao wako proud.
 
Wanaijeria ni watu hatari sana katika nchi fulani. Maana bihashara nyingi wazifanyazo zinakuwa na mambo mengi wizi wa kutumia bunduki na bihashaara ya madawa ya kulevya
 
Kama kuna taifa linajiamini Africa ni Wanajeria

Hawa watu kwanza wana umoja na solidarity ya kufa mtu
Siku zote katika nchi yeyeote, ukionea Mnigeria basi fahamu kwamba hawatokaa kimya, lazima watakutia kashkash mpaka siku nyingine itabidi ujifikirie mara mbili kumess nao

Kuna Mwaka mmoja kule Gwangzhou China Polisi wa Kichina aliua MTANZANIA, ni wale Watanzania ambao wamejilipua huko china, wanafanya kazi ya kuuza Kilo kwenye ndege, kutembeza wafanyabiashara wa kibongo madukani n.k

Wakati Watanzania walioko huko wakiogopa nakukimbia huku wakjificha kama digidigi, Wanaijeria wakanunua Msala in the name ya African Solidarity. Wanaume Wakaamua Kufunga barabara iliyobusy sana huko Gwangzhou. Polisi wakaja kujaribu kuwatimua wanaume wakakomaa, hakuna gari kwenda wala kurudi nyuma.
Hali hiyo ilisababisha adha kubwa sana kiasi kwamba wachina wakajifunza kuwa hakuna kumess up na Waanijeria kirahisirahisi

Wanaija Walifunga barabara wakasema mpaka waje viongozi wa Mji wa Gwanzhou waeleze kwa nini Mwafrika huyo kauawa na kwamba Serikali ya Mji huo haitoruhusu polisi kujichukulia sheria mkononi!
Hao ndo Wanaija

Cheki pia kilichotokea south Africa, Kitendo cha kuumiza Mnijeria tu na biashara zake, Wananchi wa Nijeria wamelianzisha huko Naija, Hii unaweza kusema siyo jambo muafaka kulipiza uovu kwa uovu, Lakini wakati mwingine inatuma meseji kwa Vongozi wa Africa ya kusini kuact.

Kinachoonekana ni kwamba viongozi wa Africa ya kusini hawana utashi wa kutumia nguvu za kutosha kukomesha hii hali ya wahuni wa Africa kusini kuvamia biashara za watu na kuzitia moto.
Ule ni uwendawazimu hata NYANI hana akili ndogo kama zile

Wanaija mimi nawkubali sana, TAIFA la watu CONFIDENT ambao wako proud.
Kijana fanya editing usichanganye "Wanaija" na "Wanaijeria".

Niger na Nigeria ni nchi mbili tofauti barani Afrika.

Hizi shule mzigo za kulazimishwa "mtoto amka uende shule" ni majanga.

Ulisomea ujinga eenh?
 
Kijana fanya editing usichanganye "Wanaija" na "Wanaijeria".

Niger na Nigeria ni nchi mbili tofauti barani Afrika.

Hizi shule mzigo za kulazimishwa "mtoto amka uende shule" ni majanga.

Ulisomea ujinga eenh?
 
Jamaa ni manunda sana ila ajabu wanaongozwa na rais mdhaifu kwelikweli mpaka kuna kipindi trump alimuita lifeless
 
Kijana fanya editing usichanganye "Wanaija" na "Wanaijeria".

Niger na Nigeria ni nchi mbili tofauti barani Afrika.

Hizi shule mzigo za kulazimishwa "mtoto amka uende shule" ni majanga.

Ulisomea ujinga eenh?
Aisee simchezo
 
Kijana fanya editing usichanganye "Wanaija" na "Wanaijeria".

Niger na Nigeria ni nchi mbili tofauti barani Afrika.

Hizi shule mzigo za kulazimishwa "mtoto amka uende shule" ni majanga.

Ulisomea ujinga eenh?

"Wanaija" ni Slang inayotumika kitaa kumaanisha Wanaijeria
Labda kwa sababu ya utu uzima wako uko out of touch na lugha hizi

Kaulize mtu yeyote wa kisasa, akueleze watu wanaposema NAIJA wanarefer nchi gani?
 
"Wanaija" ni Slang inayotumika kitaa kumaanisha Wanaijeria
Labda kwa sababu ya utu uzima wako uko out of touch na lugha hizi

Kaulize mtu yeyote wa kisasa, akueleze watu wanaposema NAIJA wanarefer nchi gani?
Mnakosea. "Old school slang" unayoijuwa ni "mapopo".

Na huo utetezi wako ndio unaodhihirisha viwango vya shule.

Utaitajaje nchi nyengine kumaanisha raia wa nchi nyengine? Fikiri.

Si kila ulisikialo mitaani lina maana, mwengine ni ujinga tu.

Kama hiyo haitoshi. Hapa upo JF haupo mitaani. Jiweke kwenye "standard" ya kuwa maandiko yako yanasomwa na watu wa aina mbali mbali na usifikiri kuwa na lugha ya mtaani ni ujanja sana.

Huwezi kuongea Kiswahili India wakakufahamu ingawa unaweza kubahatisha mmoja anaekijuwa cha kuombea maji.

Umenikumbusha mwaka 1974 nilikuwa Uingereza na tukapanda bus (Waswahili watatu). Ndani ya bus, jirani na tulipokuwa kulikuwa na bibi mmoja wa Kiingereza na kijibwa chake. Mmoja wetu akasema "tazama huyu bibi kafanana na mbwa wake", yalikuwa si maneno mazuri lakini ndiyo yashamtoka mwenzetu.

Bus lilipofika anaposhuka yule bibi, wakati anashuka akasema "ahsanteni sana, nawatakia safari njema". Kumbe akitusikia yote.
 
Back
Top Bottom