super mimi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 223
- 173
Nikawaida kusikia mtu akisema kupitia mjomba wangu flan niliweza kufanikiwa na kufikia hapa nilipo Leo.
Wajomba wamekua kimbilio la wengi Mara tu wapatapo changamoto katika maisha
Utasikia watu kadhaa wakisema baada ya kufeli darasa la saba nilienda kwa mjomba mjin akanitafutia kazi au akanifundisha ujuzi.
Inasemekana na kuonekana kwamba wajomba wamekua chachu ya mafanikio ya wengi hapa duniani .
Hivyo basi nami pia katika kuheshimu michango ya wajomba natoa heshima zangu za dhati kwa wajomba .
Nawasilisha kwenu wakuu.
Wajomba wamekua kimbilio la wengi Mara tu wapatapo changamoto katika maisha
Utasikia watu kadhaa wakisema baada ya kufeli darasa la saba nilienda kwa mjomba mjin akanitafutia kazi au akanifundisha ujuzi.
Inasemekana na kuonekana kwamba wajomba wamekua chachu ya mafanikio ya wengi hapa duniani .
Hivyo basi nami pia katika kuheshimu michango ya wajomba natoa heshima zangu za dhati kwa wajomba .
Nawasilisha kwenu wakuu.