na bado mtakuja na tafiti nyingi sana ili kuwachanganya wapiga kura, lakini mjue tu kwa sasa watu wameziba macho na masikio wanakomaa na misimamo waliyojiwekea na wanatunza vikatio vyao kwa tahadhari kubwa.
ngumu kumeza...!!!!
Teh Teh Teh! Utafiti!!....
Acha kujidaganya na mtaji wa wanawake ccm mumepoteza mvuto kwa kila mwananchi si wa kiume wala wa kike. Jiandaeni tu kisaikolojia wanawake hawataki kutumika mana ni waathirika wa uchumi mubovu.nan kakudanganya?tena sasa hv wameamka kwa mwanamke kupendekezwa kua makamu wa rais,umoja wa wanawake ccm upo so powerfl compared na wa chadema unaongozwa na halima mdee,halima mdee hana convicng power kwa wanawake compare na viongoz wa ccm ambazo ni wamama watu wazima wanaokubalika..mf.sophia simba,asha roz migiro,i thnk ukawa u dnt hav 2 undrmine de power of dx group
Are you for real yaani vijana ni wachahce kuliko wanawake takwimu zipi unazozizungumzia rejea sense ya 2012 itakupa picha halisi vijana ndio watakao peleka ukawa ikulu ndio chachu ya mabadiriko both males and femalesKinachoipa kiburi ccm ni makelele ya vijana ambao wakiongea utasema kuwa Chadema itaahinda ila wanshindwa kujua kuwa vijana wanapiga makelele sana na na idadi yao ni ndogo sana. Kwa hali ya kawaida wanawake ndio wengi hapa Tanzania hesabu za CCM ni kura za wanawake na ndio wataipa ushindi CCM... Hii pia ni hesabu
Are you for real yaani vijana ni wachahce kuliko wanawake takwimu zipi unazozizungumzia rejea sense ya 2012 itakupa picha halisi vijana ndio watakao peleka ukawa ikulu ndio chachu ya mabadiriko both males and females
vjijin ndiko ushndi mkubwa ulipna katika serikaliza mitaa kwa hiyo musijidagnye kwamba cadea hawako vijijini
ampeni za Dr Saa chadema ni msingi ndio zimejenga imani ya wapiga kura uimya Dr Slaa ni tunu
Acha kujidaganya na mtaji wa wanawake ccm mumepoteza mvuto kwa kila mwananchi si wa kiume wala wa kike. Jiandaeni tu kisaikolojia wanawake hawataki kutumika mana ni waathirika wa uchumi mubovu.
Vitu vimechange sana sasa ivi kusema eti wanawake tu labda wale wa zamani mana vijana ndo wengi kwa sasa msifikirie mteremko hali ya kisiasa imebadilika na kuna awareness kubwa sana ya watu hawadaganyiki kama zamani.Ccm ina wanawake wengi na ndio watakaoipa ushindi.. Mjipange maana wale wanachojua chadema ni chama cha watu wa fujo
On paper..yes...............
Mbona unahaha Ndugu??Vitu vimechange sana sasa ivi kusema eti wanawake tu labda wale wa zamani mana vijana ndo wengi kwa sasa msifikirie mteremko hali ya kisiasa imebadilika na kuna awareness kubwa sana ya watu hawadaganyiki kama zamani.
All in all time is the best judge
Chama tawala ndo mnahaha sana hata nyuso zinaonyesha wizi wenu ndo umefika mwisho na wewe kama huku invest itakula kwako mana mirija itakatika ule ujinga wa bungeni na ndio ndo kwishney kabisa.Mbona unahaha Ndugu??
Tulia buana Mfa maji haishi kutapatapa..
Kiyama yenu Mwezi October